Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari zenu wakuu, Simu yangu (Infinix Smart 6) inakumbwa na tatizo la ku-stuck mara kwa mara. Nifanyeje kuondoa tatizo hili??
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Satellite internet is wireless internet beamed down from satellites orbiting the Earth. It’s a lot different from land-based internet services like cable or DSL, which transmit data through wires...
4 Reactions
69 Replies
5K Views
Niko huku mkoani Songwe Mbozi,naomba msaada kwa anaewajua mafundi wazuri wa mafridge huku tafadhali. Fridge halipozi kabisa.Kuna fundi njaa alikuja kadai ni gesi imeisha,kajifanya kujaza lakini...
0 Reactions
0 Replies
406 Views
Habari wakuu Moja kwa moja kwenye mada Whatsapp imeban namba yangu. Je, naweza kuifungua? Msaada wenu wakuu.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habarini, Naomba msaada najaribu kujisajili kwenye mfumo wa rrims wa latra lakin mahali napohitajik kuweka namba ya nida nikiweka inakataa je ni mtandao au kuna tatizo la kiufundi zaidi.
1 Reactions
1 Replies
698 Views
Ili niweze kutumia WEBMONEY yaani kutuma na kupokea pesa natakiwa ku verify account na kitambulisho? Chief-Mkwawa
1 Reactions
4 Replies
410 Views
Kumbe kuna friji ni hadi mvua inyeshe ndio inagandisha vizuri na kupooza. Hapa nimekuja kujua hili kwamba kuna friji zinafanya kazi kukiwa na mvua tu au baridi ndio linagandisha na kupooza...
0 Reactions
10 Replies
609 Views
Habari Wanajamvi,Awali ya yote niwatakie maandalizi mema ya sikukuu ya pasaka.Ishu yangu mimi ni hii!!! nawezaje kutumia screen mbili kwenye kompyuta moja? Yaani,wakati nimefanya kazi flani ktk...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
Nauliza wakuu kwa ms Words unawezaje kuziandaa hizi tiket kwa ajili ya printing? Najaribu hapa ngoma inanitoa
3 Reactions
14 Replies
935 Views
Habari za jioni wakuuu nina mashine photocopier aina ya CANON 2520 IMAGE RUNNER (2014) nataka kuiunganisha na computer ili niwe na print na kuscan moja kwa moja nimejaribu kutumia CD walizonipa...
1 Reactions
25 Replies
9K Views
Ni swali ambalo nimekaa kujiuliza mnawezaje tumia MB 490 Kwa siku 7. Binafsi nimeshindwa.
8 Reactions
45 Replies
2K Views
Wana tech habari ya muda huu, nataraji kuwa kila mmoja wetu ameamka salama kwa wenye changamoto ya afya mungu azidi kuwapigania. Nisipoteze muda kwa wanao jua ni namna gani naweza kudownload...
3 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari WanaJF naamini Kuna maProfessional wa kupiga picha na kutengeneza passport humu ndani. Mara nyingi unajikuta ukitengeneza passport inatoka vizuri lakini kichwa kinakuwa slightly or totally...
0 Reactions
2 Replies
264 Views
Kenya lunch 1st satellite-2018 Rwanda lunch satellite-2019 Ethiopia lunch satellite-2020 Uganda lunch Satellite-2022 Zimbabwe lunch satellite-2022 Tanzania lunch satellite-0...
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Mzigo jamaa anataka million 1.3. Wataalam nipeni uchambuzi kabla ya kuzama mfukoni.
0 Reactions
28 Replies
1K Views
Sabufa yangu inatoa sauti inayokwaruza nini chanzo cha hili tatizo?
1 Reactions
14 Replies
3K Views
CODING Coding inahusisha uandishi wa maelekezo fulani kwa lugha ambayo inaeleweka na kompyuta. Lugha hizo ni kama python, C, C++ n.k. Lakini pia coder anaweza kua na uzoefu na scripting kama vile...
10 Reactions
49 Replies
8K Views
Kuna mfanyabiashara mmoja nilikuwa natazama bidhaa zake Kwa watsap status ...mara akani block...aliamua Ku block wote ambao hatujawahi nunua hizo bidhaa... Nimewahi sikia inawezekana kutazama...
17 Reactions
103 Replies
11K Views
Kuna site nimeingia ikiwa na matangazo ya kujinasibu kuwa tuna update free driver to your Laptop.Nikaona acha nifaidike na huduma ya bure.Baada ya kudawnload na kufanya installation na kuelekea...
0 Reactions
5 Replies
624 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…