Je, unaweza kuandaa video fupi ya dakika 15 ambayo ni kama mini-series?

Attelan

JF-Expert Member
Oct 12, 2023
434
700
Je utazingatia nini katika ku-shoot kama unatumia simu ya kawaida tu?

UPDATES
Ni simulizi fupi kuhusu athari za matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto (teenagers). Scenes zake ni tatu tu, scene ya kwanza ni sehemu ya shule ambako kuna wanafunzi wanaozungumzia walichokiona huko mtandaoni (Hapa ni convo ya wanafunzi watatu, convo hii haina hata dakika 3 inaishia kwenye dakika mbili).

Scene ya pili ni scene ambayo mmoja kati ya wale wanafunzi waliokuwa wakiongea shuleni anapita barabarani akiwa anajiuliza maswali kadhaa kuhusu alichokisikia kwa rafiki zake (wanafunzi wenzake). Baada ya kujishauri anaamua kuingia dukani na kununua vocha na kujipa moyo kwamba ataazima simu ya mama yake akimwambia anataka aangalie jambo fulani mtandaoni na mbeleni kuna scene ya mwisho kabisa
 
Ni simulizi fupi kuhusu athari za matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto (teenagers). Scenes zake ni tatu tu, scene ya kwanza ni sehemu ya shule ambako kuna wanafunzi wanaozungumzia walichokiona huko mtandaoni (Hapa ni convo ya wanafunzi watatu, convo hii haina hata dakika 3 inaishia kwenye dakika mbili).

Scene ya pili ni scene ambayo mmoja kati ya wale wanafunzi waliokuwa wakiongea shuleni anapita barabarani akiwa anajiuliza maswali kadhaa kuhusu alichokisikia kwa rafiki zake (wanafunzi wenzake). Baada ya kujishauri anaamua kuingia dukani na kununua vocha na kujipa moyo kwamba ataazima simu ya mama yake akimwambia anataka aangalie jambo fulani mtandaoni na mbeleni kuna scene ya mwisho kabisa
 
Kwa nini scene zako zijikite katika athari why usizielekeze kwenye namna bora kuwalinda watoto dhidi ya matokeo hasi ya social network, unaweza kutumia wazazi kupeana ujumbe namna ya kufatilia matumizi ya vifaa vya internet kwa watoto wao, Mfano kuinstall program (Apps) zitazofatilia matumizi ya vifaa hivyo kwa watoto.
 
Je utazingatia nini katika ku-shoot kama unatumia simu ya kawaida tu?

UPDATES
Ni simulizi fupi kuhusu athari za matumizi ya mitandao ya kijamii kwa watoto (teenagers). Scenes zake ni tatu tu, scene ya kwanza ni sehemu ya shule ambako kuna wanafunzi wanaozungumzia walichokiona huko mtandaoni (Hapa ni convo ya wanafunzi watatu, convo hii haina hata dakika 3 inaishia kwenye dakika mbili).

Scene ya pili ni scene ambayo mmoja kati ya wale wanafunzi waliokuwa wakiongea shuleni anapita barabarani akiwa anajiuliza maswali kadhaa kuhusu alichokisikia kwa rafiki zake (wanafunzi wenzake). Baada ya kujishauri anaamua kuingia dukani na kununua vocha na kujipa moyo kwamba ataazima simu ya mama yake akimwambia anataka aangalie jambo fulani mtandaoni na mbeleni kuna scene ya mwisho kabisa
Mkuu video ya dakika 15 sio fupi. Kwa maelezo uliyotoa hapo utashangaa umeshoot scene zako zote ukawa hujatumia hata nusu ya huo muda. Anyway, video haiwezi kuwa miniseries. Miniseries huwa zinakuwa na episodes kadhaa.

Ndio unaweza kushoot kama una simu nzuri. Changamoto itakuwa kwenye audio. Nakushauri uwe na professional audio kit. Video yako ni dialogue driven, sauti lazima irekodiwe vyema. Ukiwa na footage na audio nzuri mengine yote yanarekebishika kwenye post production.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom