Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Kuna namna ya kuzuia sms za magroup whatsapp kutoingia whatsapp tofauti na kuleft
0 Reactions
1 Replies
890 Views
Wakuu hivi ni kweli zinatoa majibu ya ukweli?.Kila nikirudirudia napata matokeo tofauti kwa hiyohiyo moja na nyingine pia.Au zimewekwa kama magemu tu?
0 Reactions
9 Replies
5K Views
eti ni kweli kuwa adsense siku hizi wame sitisha kupokea new publishers
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nielekezeni jinsi ya kutumia hii forum
0 Reactions
1 Replies
600 Views
nimepotesa code Nokia 1280 msaada
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada kujuzwa ni kwa namna gani naweza kubaini mtu anayeitumia simu yangu na mahala alipo baada ya kuipoteza iwapo ninafahamu imei number ya ile simu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
habari, nataka kununua domain ambayo tayari nishaitengeneza, nataka kuiupload iwe online, msaada please
0 Reactions
3 Replies
913 Views
Ebana nina shida na jinsi ya kushare computers kwenye printer moja, nilicheki youtube video zake zinaelekeza vizuri ila kuna baadhi ya computer hazionekani kwenye hii computer yenye printer, yaani...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya simu za mkononi na matumizi makubwa ya internet hasa mitandao ya kijamii,Nijuze inayo furaha kutambulisha mfumo ambao utaleta manufaa ya kiuchumi kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kwa anayejua kitu hii anifahamishe tafadhali.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Nashare na wana JF wenzangu hii ofa ichangamkie fasta kama una laini ya tigo inayoanziwa na 067 na sio 071 au 065 ila ni kwa 067 pekee Bonyeza *148*01*31#ok ili ujipatie bando la GB 10 ndani ya...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Kipindi cha nyuma nilikuwa natumia pirate bay blowser app kushusha mafaili ya torrent katika simu yangu ikaja ikagoma, ikawa inaandika "proxie unavailable" nikaweka kickass pro ikawa inafanya kazi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu, kuna tofauti gani kati ya 4G na 3G?. Nimeenda kwa watoa huduma hiyo hapa mkoani kwangu wakaniambia kwa hapa bado hawajafunga mtambo wake na hata wakifunga simu yangu TECNO H6 haiwezi sapot...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Sim yangu aina ya zte Kiss iii Max pindi nnapo press power button haina part ya restart. Je kuna lolote naweza fanya ili iwepo hyo part?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hii ni bonge la simu kwa wale wenye budget ya kawaida, bei yake ni 225k ina kioo cha 5 inches ram 1 gb iko stable sana hivyo kama una mpango wa kununua simu na budget yako ni ya kawaida basi...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nmeona watu kadhaa wakitumia internet ya bure na naumia jinsi ambavyo makampuni ya simu yanavyotunyonya sisi walalahoi. Walipokuwa wakipiga kampen ya matumiz ya mkongo wa taifa walidai bei ya...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Kazini kwangu tunatumia network moja kweny pc zote, katka computer ninayotumia mm haina wireless card, je nawezaje k connect na simu yangu nikatumia Internet
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Ndugu wana jf naomba msaada wenu hdd yangu sasa inaniandikia hivo mara niiwekapo kwenye laptop sijui tatizo ni nni na nilitatue vpi Asanteni
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanatech., ni simu gani inayotumia os mbili tofauti mfano Window & Android kwa wakati mmoja kama ambavyo baadhi ya pc huwa zinakuwa na os mbili ambapo wakati wa kuwasha inakupa option ya kuchagua...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu,nina simu ambayo ina uwezo wa kusapot 32GB,sasa nataka kununua angalau ya 4GB, 8GB,16GB hadi 32GB.Nisaidieni ni brand ipi ni bora,nisipate feki nikapoteza fedha bila faida,niambieni na bei...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom