Apps za kupima BLOOD GROUP kwenye simu:

Apps za kupima BLOOD GROUP kwenye simu:

LOTH HEMA

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2015
Posts
29,149
Reaction score
46,073
Wakuu hivi ni kweli zinatoa majibu ya ukweli?.Kila nikirudirudia napata matokeo tofauti kwa hiyohiyo moja na nyingine pia.Au zimewekwa kama magemu tu?
 
Bila kuwa na hardware ya kufanya hicho kitu sahau kuweza kujua mambo ya kiafya kama hayo.
 
Wakuu hivi ni kweli zinatoa majibu ya ukweli?.Kila nikirudirudia napata matokeo tofauti kwa hiyohiyo moja na nyingine pia.Au zimewekwa kama magemu tu?


Usilie wala usiwe na wasiwasi kwani wanaume wengi siku hizi wamegundua walikuwa wanalea watoto si wao. Mama anakudanganya ni wewe tu hakuna mwingine kumbe mwenzio hataki kuzaa na wewe anaye wake ampendaye, wewe unatunza tu na kuhudumia. Umekuta watoto wangapi feki ambao ulidhani ni wako? Aisee, pole sana ila usiue shemeji.....mwache tu kiustaarab. I promis you n huyo mwanaume aliyemzalisha akigundua huyo demu kaachwa atamtolea nje kwa sababu hataki zigo limuelemee yeye.
 
Usilie wala usiwe na wasiwasi kwani wanaume wengi siku hizi wamegundua walikuwa wanalea watoto si wao. Mama anakudanganya ni wewe tu hakuna mwingine kumbe mwenzio hataki kuzaa na wewe anaye wake ampendaye, wewe unatunza tu na kuhudumia. Umekuta watoto wangapi feki ambao ulidhani ni wako? Aisee, pole sana ila usiue shemeji.....mwache tu kiustaarab. I promis you n huyo mwanaume aliyemzalisha akigundua huyo demu kaachwa atamtolea nje kwa sababu hataki zigo limuelemee yeye.

Mkuu nimejaribu hizi apps kiukweli zote ni fake hazinaukweli wowote.. dont waste your time
 
mbona maswali yako ya kitoto sanaa

Ibilisi, jibu swali,humu kuna wataalamu wanaojibu maswali bila kujali ni ya kitoto au kizee na wametusadia sana hawa jamaa, mfano chief mkwawa.
 
Back
Top Bottom