Msaada katika app za kushusha torrent files.

Ramlis

JF-Expert Member
Aug 22, 2013
597
496
Kipindi cha nyuma nilikuwa natumia pirate bay blowser app kushusha mafaili ya torrent katika simu yangu ikaja ikagoma, ikawa inaandika "proxie unavailable" nikaweka kickass pro ikawa inafanya kazi vuzuri na zote hizo app zilikuwa na speed kubwa hadi mb 2 kwa sek, kwa sasa hii app nayo haifanyi kazi nimejaribu kila njia hata kui-update bado haifanyi kazi, nimebadili hadi simu lakni bado vilevile hadi nimeamua kutumia app zingine za kushusha file za torrent lakni hizi zinasumbua sana. Kuna sehemu niliwahi kusoma kuwa ukitaka Kudownload torrent file kwa uharaka angalia "seeders" zikiwa nyingi na speed inaongezeka na zikiwa kidogo vilele speed inapungua. Kwa upande wangu hilo sijalifatilia hadi sasa, kinachonisibu ni pale ninapotaka kushusha kitu kutoka torrent unakuta file husika lina zaidi ya mwaka speed yake haizidi kb 50 nimejaribu kubadili aina tofauti ya app za torrent lakni hakuna madiliko na kama lina miaka mingi hata kuhesabu byte 1 haiwezekani. Kama file ni la chini ya mwaka mmoja sana sana ndani ya miezi 3 speed yake huwa kubwa sana. Kwa mfano movie ya 2009 ni ngumu kuikuta ina miezi sita hadi mwaka tangu imepandishwa mtandaoni.
Naombeni msaada wenu juu ya hili kama linaweza kurekebishwa au njia yoyote ya kushusha torrent file lolote kwa speed kwa kutumia simu.

NB:
Kwa sasa ni siku ya tatu ninashusha season ya 49 days ya mwaka 2011 ina gb 3.6 na hadi sasa ina gb 1.8 iliyoshushwa tu na mtandao hapa nilipo huwa speed inafikia mb 6 kwa sek, na leo hii nimepakua windows 10 ina gb 3.72 ndani ya dk 23 ilikuwa imekamilika.
 
Hicho kitu ambacho hujakitilia maanani (seeders) ndio cha muhimu zaidi unatakiwa ukiangalie.

Torrent kuwa ya zamani haiifanyi iwe faster unatakiwa uangalie seeders wake.

Pia sometime inaweza kuwa na seeders wengi ila ukawa na tracker inayokupa seeders wachache hivyo itabidi ueke mwenyewe tracker ili kuongeza speed.

Unadownload torrent toka site gani?
 
Hicho kitu ambacho hujakitilia maanani (seeders) ndio cha muhimu zaidi unatakiwa ukiangalie.

Torrent kuwa ya zamani haiifanyi iwe faster unatakiwa uangalie seeders wake.

Pia sometime inaweza kuwa na seeders wengi ila ukawa na tracker inayokupa seeders wachache hivyo itabidi ueke mwenyewe tracker ili kuongeza speed.

Unadownload torrent toka site gani?

Kwa sasa natumia flud, search engine ni lime torrent hapo kwenye site sijui kabisa. Na nitafanyaje kuongeza tracker? Nimeitafuta upya hiyo 49 days ina seeders 2 na tracker 2 kwenye list zingine na search engine tofauti ni seeders 0 na tracker 0 nimejaribu na google pia.
 
Kwa sasa natumia flud, search engine ni lime torrent hapo kwenye site sijui kabisa. Na nitafanyaje kuongeza tracker? Nimeitafuta upya hiyo 49 days ina seeders 2 na tracker 2 kwenye list zingine na search engine tofauti ni seeders 0 na tracker 0 nimejaribu na google pia.

tumia site kama kat.cr

itakuonesha seeder na leecher na pia kuna tab imeandikwa technical pale kuna list ya tracker.

kuadd tracker kwa simu itategemea na apps ila tafuta mwenyewe namna ya kuipata sehemu ya tracker halafu copy tracker wote toka kat.cr then paste kule

pia kua na tabia ya kuangalia kama series ipo ftp kwanza. kule ni full speed na ni direct link.


search mfumo huu, mfano nasearch series ya empire then search

index of empire

au

index of empire .mkv

unaweza badilisha neno mkv na mp4, .flv, nk
 
Kipindi cha nyuma nilikuwa natumia pirate bay blowser app kushusha mafaili ya torrent katika simu yangu ikaja ikagoma, ikawa inaandika "proxie unavailable" nikaweka kickass pro ikawa inafanya kazi vuzuri na zote hizo app zilikuwa na speed kubwa hadi mb 2 kwa sek, kwa sasa hii app nayo haifanyi kazi nimejaribu kila njia hata kui-update bado haifanyi kazi, nimebadili hadi simu lakni bado vilevile hadi nimeamua kutumia app zingine za kushusha file za torrent lakni hizi zinasumbua sana. Kuna sehemu niliwahi kusoma kuwa ukitaka Kudownload torrent file kwa uharaka angalia "seeders" zikiwa nyingi na speed inaongezeka na zikiwa kidogo vilele speed inapungua. Kwa upande wangu hilo sijalifatilia hadi sasa, kinachonisibu ni pale ninapotaka kushusha kitu kutoka torrent unakuta file husika lina zaidi ya mwaka speed yake haizidi kb 50 nimejaribu kubadili aina tofauti ya app za torrent lakni hakuna madiliko na kama lina miaka mingi hata kuhesabu byte 1 haiwezekani. Kama file ni la chini ya mwaka mmoja sana sana ndani ya miezi 3 speed yake huwa kubwa sana. Kwa mfano movie ya 2009 ni ngumu kuikuta ina miezi sita hadi mwaka tangu imepandishwa mtandaoni.
Naombeni msaada wenu juu ya hili kama linaweza kurekebishwa au njia yoyote ya kushusha torrent file lolote kwa speed kwa kutumia simu.

NB:
Kwa sasa ni siku ya tatu ninashusha season ya 49 days ya mwaka 2011 ina gb 3.6 na hadi sasa ina gb 1.8 iliyoshushwa tu na mtandao hapa nilipo huwa speed inafikia mb 6 kwa sek, na leo hii nimepakua windows 10 ina gb 3.72 ndani ya dk 23 ilikuwa imekamilika.

Mkuu inawezekana site unayotumia ni mbovu hebu jaribu 1337x.to
 
tumia site kama kat.cr

itakuonesha seeder na leecher na pia kuna tab imeandikwa technical pale kuna list ya tracker.

kuadd tracker kwa simu itategemea na apps ila tafuta mwenyewe namna ya kuipata sehemu ya tracker halafu copy tracker wote toka kat.cr then paste kule

pia kua na tabia ya kuangalia kama series ipo ftp kwanza. kule ni full speed na ni direct link.


search mfumo huu, mfano nasearch series ya empire then search

index of empire

au

index of empire .mkv

unaweza badilisha neno mkv na mp4, .flv, nk

Mkuu inawezekana site unayotumia ni mbovu hebu jaribu 1337x.to

Ngoja nijaribu, nitaleta mrejesho?
 
Hii series ya 49 days kila mahali ninapotafuta nakuta ina seeders 3, lakni nashukuru kwa mchango wenu naendelea kufanya utafiti hadi sasa
 
Back
Top Bottom