The file or directory is corrupted and unreadable

Raaj

JF-Expert Member
Feb 10, 2013
205
29
Ndugu wana jf naomba msaada wenu hdd yangu sasa inaniandikia hivo mara niiwekapo kwenye laptop sijui tatizo ni nni na nilitatue vpi
Asanteni
 
{MFT(Master File Table)kwa NTFS file system} au {FAT(File Allocation Table)kw FAT} itakua imecorrupt,je Ni partition gani ya hiyo Hdd yako inayo leta hiyo tatizo?au ina partition mbayo ndo primary?unaweza fix ilo tatizo kwa Chkdsk command au kwa kuformat hiyo disk kwa cmd sababu formt ya hiyo disk sasa ni RAW so inabidi iconvetiwe kwenye readable format
 
{MFT(Master File Table)kwa NTFS file system} au {FAT(File Allocation Table)kw FAT} itakua imecorrupt,je Ni partition gani ya hiyo Hdd yako inayo leta hiyo tatizo?au ina partition mbayo ndo primary?unaweza fix ilo tatizo kwa Chkdsk command au kwa kuformat hiyo disk kwa cmd sababu formt ya hiyo disk sasa ni RAW so inabidi iconvetiwe kwenye readable format

ina partition ambayo ndo primary je nikiformat hyo disk sitopoteza data zilizomo??
 
umesema ni external sio?first jaribu chkdsk command,fungua Comand prompt(cmd),then tpe in "chkdsk /f herufi ya iyo disk,mafano >chkdsk /f c
 
ina partition ambayo ndo primary je nikiformat hyo disk sitopoteza data zilizomo??
kama chkdsk command itagoma(inatokaga haifix kitu),,fungua cmd,type 'diskpart' kitapop up kiwindow cha kuomba authorization kubali then cmd itasoma 'DISKPART>' then type in 'list disk',angalia letter ya disk yako ambayo kwenye Status itakua mark kama RAW,kama uioni,type 'list volume',volume (partitions zote za disks zilizomo kwa pc zitakua listed,angalia letter ya volume ya disk yako ambayo kwenye Status itakua mark kama RAW,type 'select volume namba ya iyo volume ilipokua listed'mfano,'select volume 3',kua makini usije type ambayo sio,then type 'clean',then type 'create partition primary',then type 'format',suburi iyo disk yako iwe formated,inachukua muda MFT ndo inakua created from scratch..then tumia data recovery tool kama easeus recovery tool kurecover data zako.
Ningekuonesha every thing kwa screen shoot but VM Workstation yangu imezngua,So si access na windows right now
 
umesema ni external sio?first jaribu chkdsk command,fungua Comand prompt(cmd),then tpe in "chkdsk /f herufi ya iyo disk,mafano >chkdsk /f c

imekataa imeandika access denied as you do not have sufficient priverage you have to invoke this utility running in elevated mode
 
imekataa imeandika access denied as you do not have sufficient priverage you have to invoke this utility running in elevated mode
unaitaiji kurun Command Prompt as Administrator,funugua Start,All Programs,Accessories,then right click cmd kisha 'Run as Administrator'.
 
kama chkdsk command itagoma(inatokaga haifix kitu),,fungua cmd,type 'diskpart' kitapop up kiwindow cha kuomba authorization kubali then cmd itasoma 'DISKPART>' then type in 'list disk',angalia letter ya disk yako ambayo kwenye Status itakua mark kama RAW,kama uioni,type 'list volume',volume (partitions zote za disks zilizomo kwa pc zitakua listed,angalia letter ya volume ya disk yako ambayo kwenye Status itakua mark kama RAW,type 'select volume namba ya iyo volume ilipokua listed'mfano,'select volume 3',kua makini usije type ambayo sio,then type 'clean',then type 'create partition primary',then type 'format',suburi iyo disk yako iwe formated,inachukua muda MFT ndo inakua created from scratch..then tumia data recovery tool kama easeus recovery tool kurecover data zako.
Ningekuonesha every thing kwa screen shoot but VM Workstation yangu imezngua,So si access na windows right now

Hakuna njia nyingine ya ku fix tofauti na ku format maana sasa hvi nipo kijijini kwa bibi internet inasoma Edge hvo sitoweza kupata recovery software yeyote
 
Back
Top Bottom