Msaada: Jinsi ya kushare printer kwenye computer zaidi ya moja

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Ebana nina shida na jinsi ya kushare computers kwenye printer moja, nilicheki youtube video zake zinaelekeza vizuri ila kuna baadhi ya computer hazionekani kwenye hii computer yenye printer, yaani naweza kushare na computer moja tu nyingine hazikubali, wataalamu nisaidieni.
 
Kwanza hakikisha computer zote kweny network yako zinaonana. mean uki-ping zinareply each other.
 
Ebana nina shida na jinsi ya kushare computers kwenye printer moja, nilicheki youtube video zake zinaelekeza vizuri ila kuna baadhi ya computer hazionekani kwenye hii computer yenye printer, yaani naweza kushare na computer moja tu nyingine hazikubali, wataalamu nisaidieni.

MAITAJI:
computer zaidi ya 1, printer moja, switch, utp cable, driver ya printer na power source.

PROCEDURE:
hakikisha computer zote na printer zipo connected kwenye switch na cable zako ulizotumia zipo punched vizuri,

Kazi ni ndogo sana, assign IP address kwenye printer na ikiwezekana label iyo IP juu ya printer kwa karatasi (nakushauri tumia static ip maana pc ni chache), assign ip kwenye computer zote zilizopo kwenye network (hakikisha computer na printer wapo kwenye same network yani network address ni moja).

Baada ya apo install driver za printer kwenye kila pc, ila kila unapofanya installation unaunga printer moja kwa moja kwa kutumia ip ya printer, au unaweza ku add through add devices and printer

Njia nyingi za kusambaza iyo driver, unaweza tumia share group au ukatumia FTP au unaweza kufanya copying and pasting adi umalize mkuu.

Muimu ni same network, driver in each machine, tumia static ip kwa uchache wa machine zako.
 
MAITAJI:
computer zaidi ya 1, printer moja, switch, utp cable, driver ya printer na power source.

PROCEDURE:
hakikisha computer zote na printer zipo connected kwenye switch na cable zako ulizotumia zipo punched vizuri,

Kazi ni ndogo sana, assign IP address kwenye printer na ikiwezekana label iyo IP juu ya printer kwa karatasi (nakushauri tumia static ip maana pc ni chache), assign ip kwenye computer zote zilizopo kwenye network (hakikisha computer na printer wapo kwenye same network yani network address ni moja).

Baada ya apo install driver za printer kwenye kila pc, ila kila unapofanya installation unaunga printer moja kwa moja kwa kutumia ip ya printer, au unaweza ku add through add devices and printer

Njia nyingi za kusambaza iyo driver, unaweza tumia share group au ukatumia FTP au unaweza kufanya copying and pasting adi umalize mkuu.

Muimu ni same network, driver in each machine, tumia static ip kwa uchache wa machine zako.

shukrani , lakini mimi sio mtaalamu sana wa computer, naomba uniambie una assign vp ip address kwenye printer, na una assign vp ip address kwenye computer tena, na static ip ni ipi
 
Jamani mm natafuta mtu wa kuni kochi kwenye video editing na photo editing hasa kwa adobe nani wa kunisaidia ilo wakuu
 
kwa wewe kama huna utaalam wa computer ni vigum sana kukuelekeza.. maana ni nshu inayohitaj uelewa wa terminlogy
za networking,mfano unapoambiwa static ip, ping, na mengine meng,
ushauri njoo pm ulete mawasiliano ntakuelekeza direct
 
kwa wewe kama huna utaalam wa computer ni vigum sana kukuelekeza.. maana ni nshu inayohitaj uelewa wa terminlogy
za networking,mfano unapoambiwa static ip, ping, na mengine meng,
ushauri njoo pm ulete mawasiliano ntakuelekeza direct
thank you man
 
Back
Top Bottom