Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 620
Wanatech., ni simu gani inayotumia os mbili tofauti mfano Window & Android kwa wakati mmoja kama ambavyo baadhi ya pc huwa zinakuwa na os mbili ambapo wakati wa kuwasha inakupa option ya kuchagua moja kati ya zile mbili.so kuna simu kama hio? Na kama haipo wameshindwa kitu gani kufanya hivyo?