Naombeni msaada wakuu mwanzo nilikuwa napokea notification za jamii forums lkn baada ya kuwa imezingua hapo katikati sipat tena notification....jee nifanye nn
Kwenye menu ya Vodacom imeongezeka option ya Simu.tv kuna mtu anajua ni nini exactly? inaonekana kama unaweza kununua video na movies. nafanya uchunguzi zaidi.
Simu yangu vodfne v695 nikipiga simu siwez elewana na upande WA pili ,
mpaka niweke loud speaker,lakini pia nikiplay nyimbo sizikii mpaka niweke ear phone ,je nifanyaje
Hii gari inatoa kelele sana kwenye miguu nshapeleka kwa fundi lakini wapi bado kuna kelele znatokea kwenye staring au kwenye miguu nshachoka nayo kwa mwenye kuweza kunsaidia kusolve hili tatizo...
Sijafungua email adres yangu siku nyingi,nilipojaribu kufungua ujumbe ukaja wanataka kujiaminisha kama kweli mimi ndiye mwenye account hiyo,nimeulizwa swali la jina nililokua natumia utotoni nami...
Tumia code hii ili kuweza kuseti laini fulani ifungue 3g bonya *#*#4636#*#* lakin baadhi ya model za sim hugoma ikikubali nenda Kwenye menu itakayofunguka na chagua
Phone imformation...
Wadau napata shida baada ya kubadilisha Background ya Picha/Kuedit napata shida jinsi ya Kusave kwenye PC mfano nimeiwekea background nyeupe ila nikienda kule juu kwenye image-Export sioni Option...
habari? naomba mnisaidie maana napata tabu kudownload kupitia simu yangu
kuna moja nimesearch inaitwa tubemate lakini nikatahadharishwa inaharibu simu nikaiacha, mwenye kufahamu plz
pili...
Wadau TV yangu inatoa sauti lakini hakuna video, nimejaribu kibadilisha wire labda ni mbovu tatizo bado, channel ya Tv naisikia lakini sioni, tatizo inaweza kuwa nini?
http://www.chattytz.byethost7.com/
Anza kwa kuchagua Start Chatting, then utaandika nickname yako na kitu(interest) ambacho unataka kuongelea halafu system itatafuta randomly mtu mwenye interest...
Wadau naomba kwa mwenye uzoefu juu ya hizi solar zinazouzwa na kampuni ya mobisol na hizi za madukani ni zipi nzuri kwa wenye uzoefu nazo? maana ukilinganisha bei ya dukani na hizi za mobisol...
Habari wana ukumbi,
Si mbaya tukashare maarifa hapa Jamii zetu za enzi hizo zilitumia vitu kama Ngoma au Moshi kuwasiliana Mwanadamu anajaribu kuleta njia rahsi zaidi ya mawasiliano kati ya mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.