Ok9 JF-Expert Member Oct 5, 2013 4,549 4,132 Dec 26, 2015 #1 Nina laptop windows 8 lkn Microsoft Word inafunguka kwa tabu Sana kuliko proram zingne Nn cha kufanya?
Nina laptop windows 8 lkn Microsoft Word inafunguka kwa tabu Sana kuliko proram zingne Nn cha kufanya?
Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 31,519 42,074 Dec 26, 2015 #2 inafunguka taratibu? specs za cpkputer nazo zipoje? unatumia version gani ya office?
Ok9 JF-Expert Member Oct 5, 2013 4,549 4,132 Dec 26, 2015 Thread starter #3 Chief-Mkwawa said: inafunguka taratibu? specs za cpkputer nazo zipoje? unatumia version gani ya office? Click to expand... Word 2013 ram 2gb hdd 500gb
Chief-Mkwawa said: inafunguka taratibu? specs za cpkputer nazo zipoje? unatumia version gani ya office? Click to expand... Word 2013 ram 2gb hdd 500gb
Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 31,519 42,074 Dec 26, 2015 #4 Mushi92 said: Word 2013 ram 2gb hdd 500gb Click to expand... japo hujataja specs za processor inawezekana ikawa nzito kwa machine yako. hasa kama unairun na apps nyengine kwa pamoja. fungua task manager kwenye advanced mode halafu pindi ikiwa nzito angalia ni kitu gani kinakuwa full kadi ya hdd ram au cpu
Mushi92 said: Word 2013 ram 2gb hdd 500gb Click to expand... japo hujataja specs za processor inawezekana ikawa nzito kwa machine yako. hasa kama unairun na apps nyengine kwa pamoja. fungua task manager kwenye advanced mode halafu pindi ikiwa nzito angalia ni kitu gani kinakuwa full kadi ya hdd ram au cpu