poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 456
- 175
Nina Samsung Galaxy S2 ambayo kuna wakati nikipiga simu au kupokea simu
nakuwa sisikii chochote na wala niliyempigia au kunipigia hasikii chochote toka kwangu.
Tatizo hili huchukua baadhi ya nyakati. Kuna wakati inakuwa sawa tunasikilizana vizuri na kuna wakati mambo
huwa hovyo kabisa.
Kwa anayejua namna ya kusolve tatizo naomba msaada.
Ahsanteni.
nakuwa sisikii chochote na wala niliyempigia au kunipigia hasikii chochote toka kwangu.
Tatizo hili huchukua baadhi ya nyakati. Kuna wakati inakuwa sawa tunasikilizana vizuri na kuna wakati mambo
huwa hovyo kabisa.
Kwa anayejua namna ya kusolve tatizo naomba msaada.
Ahsanteni.