Habari.
Nataka kubadilisha simu naomba ushauri wako kati ya hizi simu ninunue ipi?
-samsung galaxy j1
-samsung galaxy grand primier
-samsumg galaxy core primier
itakuwa vizuri mkiniwekea na bei ya kila simu.
Thanks in advance!
Njoo nkuuzie samsung s4
Utafurah
Utanipa mia 4 tu kks 4 unauza sh ngap
simu zote hizo hazifanani bei wala specs kiufupi hazishindanishiki.
galaxy j1 chini ya 200,000
galaxy core prime 200,00-300,000
galaxy grand prime 300,000-400,000
na uzuri ndio hivyo hivyo grand nzuri kuliko core na core nzuri kuliko j1