Msaada: Xperia

tatanyengo

JF-Expert Member
Mar 30, 2011
1,134
280
Naomba msaada wa namna ya kuifanya Memory Card iwe internal memory. Nimebaini kuwa simu yangu (Xperia) ina internal storage ndogo (1.82GB). Cha kushangaza kuna sehemu imeandikwa total space 16.00GB. Nikijaribu kudownload kitu kutoka Google store/play, inaniambia space is not enough. Msaada tafadhali!
 
Naomba msaada wa namna ya kuifanya Memory Card iwe internal memory. Nimebaini kuwa simu yangu (Xperia) ina internal storage ndogo (1.82GB). Cha kushangaza kuna sehemu imeandikwa total space 16.00GB. Nikijaribu kudownload kitu kutoka Google store/play, inaniambia space is not enough. Msaada tafadhali!

Kiongozi umepigwa,kuna kila dalili za kwamba simu yako itakuwa CLONE,pole
 
Naomba msaada wa namna ya kuifanya Memory Card iwe internal memory. Nimebaini kuwa simu yangu (Xperia) ina internal storage ndogo (1.82GB). Cha kushangaza kuna sehemu imeandikwa total space 16.00GB. Nikijaribu kudownload kitu kutoka Google store/play, inaniambia space is not enough. Msaada tafadhali!

Machina huyo, ni xperia gani hiyo.
 
Kiongozi umepigwa,kuna kila dalili za kwamba simu yako itakuwa CLONE,pole
Hhahahahaha mchina wa Kariakoo huyo, akitaka aamini awe mpole watamuonyesha jinsi wanavyofanya, jamaa walinifundisha but nimesahau. wanakuuliza kabisa unataka 32 au 16gb hahahhahaaa wanaandika faster wanakuonyesha
 
Naomba msaada wa namna ya kuifanya Memory Card iwe internal memory. Nimebaini kuwa simu yangu (Xperia) ina internal storage ndogo (1.82GB). Cha kushangaza kuna sehemu imeandikwa total space 16.00GB. Nikijaribu kudownload kitu kutoka Google store/play, inaniambia space is not enough. Msaada tafadhali!
Nina shaka hapo, nishakuwa na Xperia T na LG G2 za 16GB, sikuwahi kuijaza na ilikuwa na zaidi ya 10GB free.
 
Back
Top Bottom