A alikhalef JF-Expert Member Joined Jan 6, 2012 Posts 717 Reaction score 75 Jan 4, 2016 #1 Kwann hii process inakuwa na kazi kubwa wakati computer haina kazi yyt ile. Tatizo hili nimeliona kwenye windows7.
Kwann hii process inakuwa na kazi kubwa wakati computer haina kazi yyt ile. Tatizo hili nimeliona kwenye windows7.
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,242 Reaction score 44,327 Jan 4, 2016 #2 ni windows update hio hata mimi inanikera kweli sijui wanafikiri kila mtu ana ram 32gb. kuifunga just nenda kwenye windows update halafu chagua dont check update itaondoka
ni windows update hio hata mimi inanikera kweli sijui wanafikiri kila mtu ana ram 32gb. kuifunga just nenda kwenye windows update halafu chagua dont check update itaondoka