A alikhalef JF-Expert Member Jan 6, 2012 717 74 Jan 4, 2016 #1 Kwann hii process inakuwa na kazi kubwa wakati computer haina kazi yyt ile. Tatizo hili nimeliona kwenye windows7.
Kwann hii process inakuwa na kazi kubwa wakati computer haina kazi yyt ile. Tatizo hili nimeliona kwenye windows7.
Chief-Mkwawa Platinum Member May 25, 2011 31,519 42,078 Jan 4, 2016 #2 ni windows update hio hata mimi inanikera kweli sijui wanafikiri kila mtu ana ram 32gb. kuifunga just nenda kwenye windows update halafu chagua dont check update itaondoka
ni windows update hio hata mimi inanikera kweli sijui wanafikiri kila mtu ana ram 32gb. kuifunga just nenda kwenye windows update halafu chagua dont check update itaondoka