banalunda
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 231
- 67
Wakuu kheri ya mwaka mpya .
Naomba nipatiwe msaada, Niko na PC Hp ilikuwa naweza ku connect wireless kwa kutumia simu ama sehemu ypyote yene wifi naweza ku connect kama nina password, ila imekataa gafla sasa haiwezi detect wireless net, msaada nifanyeje.
Naomba nipatiwe msaada, Niko na PC Hp ilikuwa naweza ku connect wireless kwa kutumia simu ama sehemu ypyote yene wifi naweza ku connect kama nina password, ila imekataa gafla sasa haiwezi detect wireless net, msaada nifanyeje.