natamani kulia msaada kuhusu virus

natamani kulia msaada kuhusu virus

Finder boy

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
608
Reaction score
150
wandugu salamu, naomba msaada wenu maana hapa natamani kulia maana kila nikiingia kwenye page nazozitaka hata jamiiforums natolewa na kupelekwa page nyingine ya matangazo ama alibaba primier au mengine, na kwenye page yanakuja maneno haya: "powerd by bronze aid" na mengine "related search by bronze aid" nikijaribu kucancel maneno hayo nhayatoki badala yake napelekwa page nyingine. nimefanya full scan lakini tatizo bado linaendelea, yaani hapa kichwa kinauma. msaada wenu jamani. asanteni!
 
hio inaitwa browser hijacker mtu ameteka browser na asilimia 99 antivirus haiwezi kupambana nao hawa jamaa sababu ulimwengu wa sasa si wa virusi tena.

solution ya haraka
ingia google search malware bytes then download halafu install then scan dk kadhaa tu anatolewa.

kujifunza zaidi
kama unataka kumtafuta mwenyewe taratibu fanya hivi
- nenda kwenye extension/browser addons halafu angalia kitu gani hukielewi elewi na unahisi ni malware kitoe
-nenda add or remove program (sehemu unapo un install program) halafu angalia ni program ipi hujaieka na unahisi ndio yenyewe.
-kill process zake toka task manager
-reset browser
nk
 
Hahaa hii kitu nilikuwa nafanya application za masomo online....aiseee ikabid niagaili maana unaclick hiki unaletewa kile au page inakuwa covered na add Za ajab ajab hadi kero..nikabid niache
 
CHIEF MKWAWA naomba unisaidie na kwenye simu...kila mara inakuja warning sijui mara downloads battery charge server..mara download sijui antivirus fulani....yan ni karaha..nacancel kila mara had nakoswa furaha...sasa hicho ki warning kikijitokeza mfano usiku nimelala kinakaa dk kama moja simu inaanza kukidownload kwa hiyo nikiamka asbh unakuta downloading kama 20 zinafanyika.....
Nini nifanye mkuu.
Ngoja kikitokea nitaweka screen shot hapa ya picha
 
uploadfromtaptalk1452267331848.png


Chief-Mkwawa
Hilo hapo janga lenyewe mkuu
Natumia LG android os
 
hio inaitwa browser hijacker mtu ameteka browser na asilimia 99 antivirus haiwezi kupambana nao hawa jamaa sababu ulimwengu wa sasa si wa virusi tena.

solution ya haraka
ingia google search malware bytes then download halafu install then scan dk kadhaa tu anatolewa.

kujifunza zaidi
kama unataka kumtafuta mwenyewe taratibu fanya hivi
- nenda kwenye extension/browser addons halafu angalia kitu gani hukielewi elewi na unahisi ni malware kitoe
-nenda add or remove program (sehemu unapo un install program) halafu angalia ni program ipi hujaieka na unahisi ndio yenyewe.
-kill process zake toka task manager
-reset browser
nk
ASANTE SANA, NGOJA NIFANYE IVYO
 
Hahaa hii kitu nilikuwa nafanya application za masomo online....aiseee ikabid niagaili maana unaclick hiki unaletewa kile au page inakuwa covered na add Za ajab ajab hadi kero..nikabid niache
NISHIDA NDUGU YANGU
 
kumbuka app gani ulieka ndio hilo tatizo likaanza itoe hio app.

pia jaribu kwenda setting halafu application angalia kwenye app zinazorun kama kuna suspicious app
huna shida ya kufuta app unayohisi ndo chanzo sababu app nyingi za free ndo huleta hiz ads ili u click wafanye biashara

download app inaitwaLUCKY PATCHERuki download ifungue na utaziona app zako zote gusa kwa muda iyo app na itatokea setting na utachagua REMOVE ADS itakapomaliza fungua app yako na itakua tayari
 
huna shida ya kufuta app unayohisi ndo chanzo sababu app nyingi za free ndo huleta hiz ads ili u click wafanye biashara

download app inaitwaLUCKY PATCHERuki download ifungue na utaziona app zako zote gusa kwa muda iyo app na itatokea setting na utachagua REMOVE ADS itakapomaliza fungua app yako na itakua tayari

kuna utofauti mkubwa kati ya adds za kistaarabu za ndani ya application na adware. add za ndani ya application ndio utazitoa na lucky patcher lakini adware ni habari nyengine, anaweza hadi kuingia na kuwa kama system app hivyo kuwa na power kubwa kumshinda hata lucky patcher.

pia adware hadisplay hayo matangazo kwenye app yake bali yanapop up kwa juu, au kutokea kwenye notification centre au hata kureplace vitu ukibrowse internet
 
Back
Top Bottom