Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Heshima yenu wakuu. Naomba msaada jinsi ya kuwezesha simu yangu iwe na uwezo wa kupata internet. Natumia mtandao wa tigo na simu ni aina ya Samsung GT-S7500.......Nimejaribu kupiga customer care...
0 Reactions
22 Replies
19K Views
Wadau naomba msaada wa autoposter hata Kama kwa kulipia. Ila bei isiwe kubwa maana ndo kwanza naanza kazi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa sasa kuna matatizo kwenye hizi decorders, lakini unaweza kupata almost chanel 22 . Nenda CHANNEL MANAGER--> NIT SEARCH weka frequency ya 482K Then search. Chanell zinazopatikana; Chanel...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Sikuiz kuna ATM kadi tofaut tofaut kuna ATM kadi zimeandikwa, MASTER CARD, VISA na zingne zipo normal hizana hayo majina mfano CRDB now wana master card na visa. NMB nao saiv wana master card...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Binadamu anajifanya mjanja na kumbe si mjanja kabisa. Watu wengi ni wazembe sana inapokuja kutumia password mtandaoni na sehemu mbalimbali. Utakuta mtu anarudia password yake ileile au hata...
0 Reactions
0 Replies
619 Views
Wakuu, asanteni kwa msaada wenu katika teknolojia. Nimekwama sehemu na nikaona hapa naweza pata msaada wa haraka. Ninahitaji kuanza kujifunza kutengeneza magazine, na nimefuatilia kwenye mtandao...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Namna ya ku-copy video iliyotumwa kwenye Jamiiforums na kuipeleka, kwa mfano kwenye WhatsApp.
0 Reactions
0 Replies
750 Views
In a new article, published in the science journal Nature, researchers propose a paradigm-shifting change in the treatment of wastewater, a shift they say could have a dramatic global impact...
0 Reactions
1 Replies
727 Views
Wakuu naomba kujua SMTP server ya TTCL inaitwaje jamani manake natumia TTCL Broadband huku bush na mara nyingi nimekuwa natumia outlook kwa ajili mawasiliano mbali mbali lakini nina kama wiki tatu...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Naomben msaada wenu kuna jamaa kaiba akaunt yangu ya instagram na kubadilisha info zote kuanzia username, email hadi password.. Karma kuna mtaalamu wa kuweza kunisaidia kuirudisha nitashukuru sana
0 Reactions
1 Replies
6K Views
Wakuu salamu kwenu, Nikiwa kama mdau wa ICT napenda kufahamu kitu kimoja kuhusu mobile application. Kwa mtu ama kikundi cha watu wanaomiliki mobile apps zao na kuziupload mfano google store na...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna watu huwa wanatamani kuangalia soccer ligi mbalimbali za ulaya kupitia laptop zao na hawajapata njia rahisi jibu ni hili hapa. Unachotakiwa kuwanacho ni laptop yako/PC pamoja iwe na huduma ya...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
fundi wa kutoa unlock carrier Kwenye iPhone 5 network n T mobile kwa bei Poa namtafuta
0 Reactions
0 Replies
503 Views
Nikiingia YouTube wakati naangalia video inajiclose yenyewe
0 Reactions
2 Replies
695 Views
Wakuu hivi karibuni nimenunua window phone,baada ya manzi wangu kung'ang'ania simu yangu ya samsung,nikaamua ku-'experience the difference' kwa kuhamia Window phone kutokana na kwamba mimi nilikua...
4 Reactions
72 Replies
11K Views
GRANEX ENGINEERING WORKS We are registered engineering work on the following areas: Services · Industrial, Commercial and Domestic Electrical maintenance, wiring and Installations ·...
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Nataka ninunue hiyo simu, naweza kupata kwa bei gani na iwe original na ni kwenye maduka gani mikoa ya Arusha, Dar es Salaam, Mwanza na Mbeya? Sababu ya kutaja hiyo mikoa itategemea hiyo siku...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Habari wapendwa, nina shida ya active ballun au cctv amplifier nina project ya kufunga cameras zenye urefu usiopungua 400m. Mwenye nazo kindly inbox me.
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Habari zenu wakuu, Naamini hapa niko jukwaa sahihi la wataalamu wa mambo ya teknolojia tena ya kisasa kabisa. Naomba kufahamishwa ni vifaa gani(Vya kisasa kwelikweli) muhimu kwa kuanzisha studio...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Ndugu wanaJF, kwa mwenye kuifahamu vyema gari aina tajwa hapo juu anisaidie hasa kuhusu ulaji wa mafuta na uimara wa injini zake ni D4 VVTi ya mwaka 2004, nimeitamani sana. Ahsanteni.
0 Reactions
45 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…