Ni kweli mkuu...ukitaka kujua ni wangapi wataathirika kwenye huu mpango fanya reseach kwenye daladala uone ni wangapi wanatumia tecno.Fake ni simu bandia, hizo tecno ni kampuni inayojulikana? Zikifingiwa tecno % kubwa ya waTz no kua na simu
Unacheki vipi?
Imei inayoanzia na 35 ni origino.
Tuma imei yako kwenda 15090 utaletewa taarifa kama itaendana na simu yako basi iko poa .
Hajjmakwato
Mkuu kama simu yangu mimi Ni Samsung Galaxy na IMEI yake ni abcdefghjk kwa mfano. Nikituma hizo IMEI tajwa hapo juu kwenda 15090,jibu litakua irudishwe IMEI namba kama niliyowatumia au nitapewa Jina la Simu? Kitu fake nitajibiwa jibu gani? Watasema Simu yako ni fake,au IMEI itasema ni Uongo au Jina sitaletewa?! Ufafanuzi please simu fake ni jibu lipi specifically?!
Sidhani, hao wanafoji hawalijui hili?
Hii niliyo nayo inaanza na 01, na ni halisi.
Imei inayoanzia na 35 ni origino.