Wataalam nisaidieni naweza pata wapi card ya flat screen yangu imepiga shot na haifai.
Niko mkoani Njombe namba 0752048709 mwenye uelelewa nitapata wapi na kwa bei gani.
Natanguliza shukurani...
Salaam wataalam,
naomba msaada, nina generator inayotupatia umeme hospitalini kwetu ya 1.2kw kila tukiwasha inawaka vizuri na mshale wa umeme unpanda vizuri hadi 220v lakini tukiruhusu umeme...
UMHM WA RIBITI KWENYE GARI
ANGALIA VIDEO HII JINSI WANAVYOIBA KILA KIFAA CHA KWENYE GARI
Niliibiwa side mirror juzi kati nimechoka ndani ya muda mfupi wameshaiba side mirror zote mbili gari aina...
kwa wale wapenzi wa chanel za mpira na movie sasa unaweza kujipatia decoda hii maarufu kwa sasa.ina uwezo wa kufungua chanel zote zilizofungwa kwa mfumo wa power vu na bisskey.0786705206
Mm sio mpenzi sana wa sport games.... Lakini mpaka leo naipendaga hii Pes 2012... Sijui kwanini.... It's old lakini kwangu ndo fav sport game..... Ila installation yake naona...
leo nimenunu cm mpya kabisaa tatzo liko hapa ina support 3G ila nikienda pale kwenye network mode nichague WCMD NA GSM inagoma nikiweka kwenye WCMD ONLY inagoma ila nikiweka kwenye GSM inakubali...
Wakuu mambo vipi?
Juzi juzi nilikua nafanya update ya lg g2 ktoka kitkat kwenda android lolipop, nilifanya manualy kwa kutumia lg flash tool nikaflash kdz ya lolipop, ila baada ya flashing...
Tukiachana na hali halisi tupo nyuma kwenye huu uwanja wa apps development hapa bongo, bado kuna watz wanajikita kutengeneza apps japo wengi hatuzifahamu , kuna kipindi nilisikia kuna mwanafunzi...
Hivi kwanini Kama mtu akiwa amebanwa na mkojo alafu akawa amekaa kitako Hua mkojo hautaki kutoka ila akisimama mkojo Hua unakua na nguvu na unataka kutoka tofauti na akiwa amekaaa.
Swali:Je Kuna...
Habari wadau,
Mada tajwa hapo juu inajieleza, ninashida na hiyo app hapo juu ila nimejaribu njia mbali mbali kudownload nimeshindwa,tafadhali mwenye uwezo wa kunisaidia kwa namna yeyote ile...
Ofa kabambe imerudi tena,
Habari wapendwa,
Husika na kichwa tanjwa hapo. Natengeneza blog kwa bei nafuu kabisa ya Tsh 30,000/= pia na boresha zile zilizo na muonekano wa kawaida na kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.