Shilewashile
Senior Member
- Dec 2, 2014
- 121
- 48
msaada kujua tofauti zake katika matumzi iPad inaizidi nini Tables?
msaada kujua tofauti zake katika matumzi iPad inaizidi nini Tables?
iPad ni kifaa cha kielektroniki. Tables ni wingi wa neno la kiingereza 'table' likimaanisha 'meza'
sasa sijui mwenzetu umetumia akili gani kufananisha vitu hivi viwili.
Ni tablet siyo tables.
Kama nielewavyo mimi ipad inakuwezesha kupata access to websites kwenye internet, labda access ya camera na video lakini tablet iko zaidi.
Kwenye tablet unaweza kutype text, kupiga simu, nk vitu ambavyo huwezi kupata access kwenye ipad
Yaani ipad ni mashoo mengi tu
Tablet ni simu/pc yenye umbo kiasi kama kitabu(inategemea) ila ipad pia ni tablet but ipad ni trademark ya tablet za apple......
Wewe wajua jinsi ya kuchapa bakora za kichwa(akili)!iPad ni kifaa cha kielektroniki. Tables ni wingi wa neno la kiingereza 'table' likimaanisha 'meza'
sasa sijui mwenzetu umetumia akili gani kufananisha vitu hivi viwili.
msaada kujua tofauti zake katika matumzi iPad inaizidi nini Tables?
ipad zinatengenezwa na Apple company na tablet zinatengenezwa na android companies e.g samsung,lg etc
Tablet na Ipad ni kitu kimoja isipokuwa, Ipad ni product ya apple na Tablet ni product ya Sumsung
Nafikiri umenipata
yaani ninajua kuna IPad na kuna Tablet ila katika matumizi kipi zaidi au ni tofauti ya makampuni tu? kwa maelezo yenu?
IPad haiwezi kupiga simu.
yaani ninajua kuna IPad na kuna Tablet ila katika matumizi kipi zaidi au ni tofauti ya makampuni tu? kwa maelezo yenu?