Msaada: Whatsapp na play store imegoma

Slave

JF-Expert Member
Dec 6, 2010
5,313
2,646
Wakuu habari za Leo
Kama ilivyo kawaida ya jukwaa hili ni kusaidiana kutatua na kuelekezana katika katika mambo yote yanayo husu TEHAMA
Kama kichwa kisemavyo sijui nini kimetokea ila mpaka sasa whatsapp hata play store hazifunguki

Msaada Pls
 
Kwenye whatsapp ni inaonysha ni kama time expired ila ply store inaonyesha hakuna network connection
Hiyo ya whatsapp unaweza ukadownload kwa kutafuta google ukaandika whatsapp apk, lakni tatizo liko play store.

Kwanza jaribu ku-clear play store caches na google play service, reboot simu yako ndo ufungue hiyo play store kama bado jaribu kutumia line ya mtandao mwingine utafanikiwa pia kumbuka kuangalia tarehe na saa ya kwenye simu yako kama iko sahihi.
 
Hiyo ya whatsapp unaweza ukadownload kwa kutafuta google ukaandika whatsapp apk, lakni tatizo liko play store.

Kwanza jaribu ku-clear play store caches na google play service, reboot simu yako ndo ufungue hiyo play store kama bado jaribu kutumia line ya mtandao mwingine utafanikiwa pia kumbuka kuangalia tarehe na saa ya kwenye simu yako kama iko sahihi.

mimi ilikua inakataa kudowload inaniambia Microsoft account is unavailable Leo nimeianzisha simu upya imefuta kila kitu,kudowload mpaka nitengeneze account ya Microsoft ,nimecreate acount naletewa sehemu nijaze imeandikwa Zip code sijui cha kujaza ili niendeleee acount ikamilike cc Slave mshana jr
 
Kwenye whatsapp ni inaonysha ni kama time expired ila ply store inaonyesha hakuna network connection
Inawezekana tatizo likawa network mkuu,huwa inatokea in some cases hasa kama apn field ni 'wap' kwenye apn setup yako.,in some cases network inaweza kusoma ukiingia google na some sites ila kuna sites nyingine ikagoma,,
long story short,nenda kwa settings,mobile network,access point name,then create new apn ,then kwenye apn field andika 'internet' then apn protocol enable both 'IPv4&IPv6'{though sio lazima,defaut IPv4 will do the magic},kisha save the enable iyo new apn kisha kafungue apps husika.{njia hii kama hizo apps zilikua zinafanya kazi before na ghafla ndo zimezngua}
Another alternative,whatsapp kuonesha time expired huwa inasababishwa na kuwa outdate au network kuzingua in some phones,sasa kama una access ya net,ingia WhatsApp for Android ,download whatsapp app,then install,(hakikisha ume allow unknown sources),itakua kua updated and every thing will be fine
Kwa upande wa Play Store,nenda apps management,ingia kwenye Google Play Services,force close,then clear all data(itaclear pamoja na caches),Do the same kwa Play Store,force close,clear data,,then kafungue play store,itabidi u sign in upya since uliclear data,and everything will work fine again.
Hope moja kati ya hizo njia zitakusaidi,no need to factory/hard factory reset
 
Apo issue ndogo sana setting app then hii clear hiyo playstore then back ifungue apo tatizo litakua mwisho
 
Inawezekana tatizo likawa network mkuu,huwa inatokea in some cases hasa kama apn field ni 'wap' kwenye apn setup yako.,in some cases network inaweza kusoma ukiingia google na some sites ila kuna sites nyingine ikagoma,,
long story short,nenda kwa settings,mobile network,access point name,then create new apn ,then kwenye apn field andika 'internet' then apn protocol enable both 'IPv4&IPv6'{though sio lazima,defaut IPv4 will do the magic},kisha save the enable iyo new apn kisha kafungue apps husika.{njia hii kama hizo apps zilikua zinafanya kazi before na ghafla ndo zimezngua}
Another alternative,whatsapp kuonesha time expired huwa inasababishwa na kuwa outdate au network kuzingua in some phones,sasa kama una access ya net,ingia WhatsApp for Android ,download whatsapp app,then install,(hakikisha ume allow unknown sources),itakua kua updated and every thing will be fine
Kwa upande wa Play Store,nenda apps management,ingia kwenye Google Play Services,force close,then clear all data(itaclear pamoja na caches),Do the same kwa Play Store,force close,clear data,,then kafungue play store,itabidi u sign in upya since uliclear data,and everything will work fine again.
Hope moja kati ya hizo njia zitakusaidi,no need to factory/hard factory reset
Hii shida na mimi imenitokea upande wa play store.... Nimefanya kila kitu lkn bado.
Nikisafiri mbal na hapa .... Inakubali... Nikiwa huku haifanyi kaz japo nina speed ya 1Mb/sec.
Nikiunganishwa na wifi inafanya kaz vizuri.... Ila kwa line ikiwa ndan haifanyi kabisa. Hapo ni play store
 
Hii shida na mimi imenitokea upande wa play store.... Nimefanya kila kitu lkn bado.
Nikisafiri mbal na hapa .... Inakubali... Nikiwa huku haifanyi kaz japo nina speed ya 1Mb/sec.
Nikiunganishwa na wifi inafanya kaz vizuri.... Ila kwa line ikiwa ndan haifanyi kabisa. Hapo ni play store
Mkuu inavoonesha tatizo lako lipo na network kama ulivo eleza,ila nashindwa ku figure out kwa speed hiyo inakuaje bado inazingua!i think last option hapo ni kuback-up important stuffs na ku factory reset,tena ikiwezekana fanya hard factory reset kabisa!ila bado nashindwa kuelewa iweje izingue kwa 1Mb/sec speed!!embu kabla huja fanya factory reset jaribu tena hizo process hapo juu na make sure Date & Time imesetiwa to 'Automatic'
 
Mkuu inavoonesha tatizo lako lipo na network kama ulivo eleza,ila nashindwa ku figure out kwa speed hiyo inakuaje bado inazingua!i think last option hapo ni kuback-up important stuffs na ku factory reset,tena ikiwezekana fanya hard factory reset kabisa!ila bado nashindwa kuelewa iweje izingue kwa 1Mb/sec speed!!embu kabla huja fanya factory reset jaribu tena hizo process hapo juu na make sure Date & Time imesetiwa to 'Automatic'
Nilisha reset factor sana lkn bado.
Hapa issue ni network maana nikiunga wifi hata kama ipo low ya speed yangu inafanya kazi. Lkn nikiweka line humu haifanyi.
Nilisha kata tamaa nikitaka kupita play store naunga wifi
 
Nilisha reset factor sana lkn bado.
Hapa issue ni network maana nikiunga wifi hata kama ipo low ya speed yangu inafanya kazi. Lkn nikiweka line humu haifanyi.
Nilisha kata tamaa nikitaka kupita play store naunga wifi
Iyo 1Mb Speed unaipata kwa hiyo hiyo device?umejaribu kubadili laini?
 
Back
Top Bottom