Habari wana JF
Natafuta site ambayo inaprovide free hosting kwan nataka kutest website yangu, pia hata mtu alie mbali namimi nataka aione kwanza alafu ndo ntafanya decision ya kununua hosting plan...
Habari wakuu, natumia TECNO j5 naomba kujua network security key naweza kuipata wapi kwenye simu, maana rafiki yangu ameshindwa kuaccess wireless kupitia simu yangu kwa sababu ya hizo passwords...
Habarini
wanajukwaa natafuta simu hiyo madukani MICROSOFT/NOKIA 215.
je kuna mtu anaweza kuwa anafahamu mahali ilipo katika maduka mjini.
iwe Dar ama Arusha.
msaada tafadhali.
shukrani
Nime update aps ya JF katika tab yangu huku nikiwa na imani itakuwa imeboreshwa na kuwa user friendly, lakini naona mambo yamekuwa kinyume chake. Sikutegemea kama itakuwa mbaya kiasi hichi.
Sasa...
Swahili Technologies video tutorials
pata mambo yanayohusiana na technology kwa lugha ya kiswahili tumeanza na webdesign wahi sasa kwa anayetaka subcribe channel yetu uwe updated na vitu vipya...
Nimetengeneza app ya kuangalia African music & comedy videos, hua napenda kuangalia african music lakini app ya youtube hua inaniangusha sana kwa kua kuna features nahitaji lakini haina, kwa hiyo...
Nawasalimu wana JF
Naomba msaada wenu, ninayo laptop ya MacBook pro retina edition late 2013, niliifanyia partition nika mackintosh HD ikaendelea ku operate kama kawaida Yosemite, na partition ya...
Fahamu mbinu na jinsi ya kuprotect kompyuta yako.
PROTECT YOUR COMPUTER FROM VIRUSES, HACKERS, AND SPIES PROTECT YOUR COMPUTER FROM VIRUSES, HACKERS, AND SPIES - techackonline
Again nimefanya tutorial ambayo inaelezea some simple yet amuzing tricks unazoeza kufanya ukiwa na software ya note pad.
its simple and easy. just grab your laptop and follow this link
code...
Habari wataalamu, nimescan vyeti na CV yangu, bahati mbaya kila nikiattach ili nifanye application naambiwa mafile yangu makubwa, nawezaji kuyapunguza? Kuna app yoyote ya kuweza kupunguza au...
habari wakuu naomben mniambie model na brand ya hiyo modem niinunue isisumbue kuflash pia nambien kama kuna madhara ya kuflash modem pia nataka modem yenye speed kali
mchango wako na ubarikiwe...
Habari wakuu.
Juzi Kati nilipeleka simu kwa fundi kubadili system charge na akabadili. Ila baada ya hapo simu imekua inapoteza Sana mawasiliano yaaani unakuta line haisomi kana kwamba hakuna...