Msaada line kupoteza mawasiliano shida nini?

Msaada line kupoteza mawasiliano shida nini?

Innocizy

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
1,736
Reaction score
1,056
Habari wakuu.
Juzi Kati nilipeleka simu kwa fundi kubadili system charge na akabadili. Ila baada ya hapo simu imekua inapoteza Sana mawasiliano yaaani unakuta line haisomi kana kwamba hakuna mnara sehemu hiyo wakati zamani ilikua inasoma.


Shida yangu naomba kujua tatizo hapo litakua ni nini ili nikiirudisha kwa fundi isichokonolewe kwingine kusikohusika.
Nimeformat lakini bado tatizo liko palepale.

Nashukuru kwa msaada wenu.
 
signal zinakuwa ndogo au haisomi kabisa? kama signal ni ndogo inamaana huwenda kachomoa antena huyo fundi
Kama ulikuwapo. Kuna muda zinakua ndogoooo then inapotea kabisa. Haisomi kabisa.
 
Kama ulikuwapo. Kuna muda zinakua ndogoooo then inapotea kabisa. Haisomi kabisa.
google mkuu antena ya simu yako au tembelea site kama ifixit unaweza kuta ni tatizo rahisi kabisa kulitatua maana inategemea na simu
 
google mkuu antena ya simu yako au tembelea site kama ifixit unaweza kuta ni tatizo rahisi kabisa kulitatua maana inategemea na simu
Sijapata solution yoyote maana simu z mediatek nazo hizi. Je haiwezi rekebishwa kwa fundi?
 
Sijapata solution yoyote maana simu z mediatek nazo hizi. Je haiwezi rekebishwa kwa fundi?
antena ni hardware kama kweli tatizo ni hio itabidi fundi au wewe aiweke sawa ndio maana nikakwambia ucheki online. ila ndio simu za mediatek support ni ndogo.
 
antena ni hardware kama kweli tatizo ni hio itabidi fundi au wewe aiweke sawa ndio maana nikakwambia ucheki online. ila ndio simu za mediatek support ni ndogo.
Ngoja nirudi kwa huyo fundi nimwambie airekebishe aiseee yaani nikirudi home line ya Voda inakata kabisa wakati haikua hivyo hapo kabla.


Thank you chief.
 
antena ni hardware kama kweli tatizo ni hio itabidi fundi au wewe aiweke sawa ndio maana nikakwambia ucheki online. ila ndio simu za mediatek support ni ndogo.
Mkuu Jana nilipata fundi akaicheki akaona antenna ipo na akaiongeza kidogo nguvu. But the problem is still there. Tazama asubuh hapa.

uploadfromtaptalk1457714820696.png
 
Back
Top Bottom