SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,986
- 2,664
Wana jukwaa msaada kidogo hapa kila nikitaka kupakuwa app kutoka play store napata ujumbe huu.
Niliyo yafanya kabla sijaja hapa kuomba msaada nime
-clear cache
-Clear data
Lakini bado tatizo lipo.
Mwenye uelewa jinsi ya ku slove hii ishu.
Mrejesho:
Baada ya kuona nasumbuka na hilo tatizo ilinibidi ni Restore simu ianze upya. Tatizo limekwisha.
Niliyo yafanya kabla sijaja hapa kuomba msaada nime
-clear cache
-Clear data
Lakini bado tatizo lipo.
Mwenye uelewa jinsi ya ku slove hii ishu.
Mrejesho:
Baada ya kuona nasumbuka na hilo tatizo ilinibidi ni Restore simu ianze upya. Tatizo limekwisha.