kama nilivoeleza hapo juu. kifupi hiyo cm lg keyboard imestack so nashindwa kuweka password ili niingie. lakini ukipiga emergence keybody inafanya kazi bila shida.
nimejaribu hard reset inawaka...
Wadau huku niliko internet ya tigo inasoma h+ na wakati huo huo unaweza kua na bundle la mb650 na setting ya internet ktk simu wamekutumia wenyewe lakini inashindwa kufungua application yoyote ktk...
Wadau wa jukwaa la teknolojia,
Nataka kufahamishwa kama kuna uwezekano wa kuangalia
picha/video inayoonekana ktk simu yangu kwa kutumia screen ya laptop.
Nadhani nimeeleweka.
Kuna watu wanapiga sana pesa kupitia kuwatengenezea watu cartoon photos unakuta mtu anampiga mwenzie hata elfu 3000 kwa picha moja mtu anatumiwa picha na pesa ndo anamtengenezea cartoon photo
Hii...
Wadau kuna website moja ya marekan nilikuwa najaribu Ku sign up lakini sikufanikiwa kwa kuwa ni lazima uwe ndani ya usa .sasa naomben mnijuze hakuna trick ya kufanya nionekane niko usa ili niweze...
Habarini zenu wadau
Nahitaji msaada wa fasta hapa kwa wakali wangu mwenye uzoefu wa mambo ya laptop hardware na software....
Ni hivi nimebadilishana na wife laptops........kanipa yake me nimempa...
Habari wana JF
Nimekuwa nikisupport ofisi mbali mbali za jijini Dar Es Salaam software zifuatazo:
1.Pastel Partner
2.Sage Evolution
3.Sage Payroll
4.Sage HR
5.ERP Tally
Yeyote anayetaka kujifunza...
WhatsApp ndio App inayotumika sana katika kutuma na kusoma meseji. Uzuri wa App hii ni kwamba ni rafiki kwa watu kwani ni rahisi sana kuitumia. Kwa hili watu wanaipenda lakini vipi kama ukiwa...
Dunia inabadilika jamani!
Chuo cha Georgia Tech kilichopo Atlanta Marekani sasa kinatoa Masters ya Computer Science kupitia mtandao kwa takribana $7,000 tu, bei ya kaiwaida ("campus") ya Degree...
Nimewavulia Kofia China kudadadek aisee nais baada ya miaka 10 kama hii mambo ya Copy generation Itaendelea nais itaua soko la hizi kampuni kubwa.China wametoa Simu aina ya Meizu Pro 6 (Copy ya...
Hii canon IR2018 photocopy/printer/sccaner ni mpya ila ushamba kazi! Nimenunua na cartridge ambayo kwenye manual ina jina la "drum unit" ila baada ya kusoma vizuri manual na kuangalia machine...
Naombeni kujua namna ya ku upgrade window 7 kwenda 10 for free. Mahitaji yake ilinifanikiwe. Mwaka jana nilikuwa naona alert ya preparation ya PC yangu kuja kuwa window 10 siku hizi hata sioni ile...
ni mtandao gani wenye gharama nafuu zaidi zaidi hapa nchi Tanzania na wenye kasi inayo ridhisha kwa matumizi ya kupiga simu na kuperuzi na kupakua vitu mbalimbali kutoka mtandaoni?
Kwa wale wajuzi wa hizi issue naombeni.mnisaidie kama kuna mtu anaweza kunisaidia kuhack akaunti ya mtu anayenisumbua nipate tu namba ya muhusika ya simu naomba anisaidie
Hata ikiwezekana mnipe...
Mtoto amechezea simu app ya meseji siioni hivyo siwezi kutuma wala kupokea sms. nimejaribu ku
download app nyingine ila hazifanyi kazi vizuri.
Naomba kujua namna ya ku recover ya zamani.
juzi nilinunua vocha ya elfu 3 ya halotel moja nikajiunga kifurushi cha chuo na 1500 nikajiunga unlimited bundle cha usiku pack nikaja kuangalia salio kwenye unlimited bundle wakanambia ndugu...