Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

kama nilivoeleza hapo juu. kifupi hiyo cm lg keyboard imestack so nashindwa kuweka password ili niingie. lakini ukipiga emergence keybody inafanya kazi bila shida. nimejaribu hard reset inawaka...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wadau huku niliko internet ya tigo inasoma h+ na wakati huo huo unaweza kua na bundle la mb650 na setting ya internet ktk simu wamekutumia wenyewe lakini inashindwa kufungua application yoyote ktk...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau wa jukwaa la teknolojia, Nataka kufahamishwa kama kuna uwezekano wa kuangalia picha/video inayoonekana ktk simu yangu kwa kutumia screen ya laptop. Nadhani nimeeleweka.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Kuna watu wanapiga sana pesa kupitia kuwatengenezea watu cartoon photos unakuta mtu anampiga mwenzie hata elfu 3000 kwa picha moja mtu anatumiwa picha na pesa ndo anamtengenezea cartoon photo Hii...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau kuna website moja ya marekan nilikuwa najaribu Ku sign up lakini sikufanikiwa kwa kuwa ni lazima uwe ndani ya usa .sasa naomben mnijuze hakuna trick ya kufanya nionekane niko usa ili niweze...
0 Reactions
3 Replies
612 Views
Nahitaji PBX, moderate pricing tafadhali. Kama unauza vifaa vya mawasiliano tuwasiliane tafadhali!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba msaada wa maelekezo namna ya kutatua hilo tatizo la drivers kwenye pc ( dell latitude d630 ) Chief-Mkwawa Mwl.RCT kcamp
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Msaada jinsi ya ku-root Samsung j1
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, nahitaji msaada kutoka kwa mwenye laptop mbovu aina ya hp inch 14 or above at a throw away price!! kama unayo njoo pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini zenu wadau Nahitaji msaada wa fasta hapa kwa wakali wangu mwenye uzoefu wa mambo ya laptop hardware na software.... Ni hivi nimebadilishana na wife laptops........kanipa yake me nimempa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana JF Nimekuwa nikisupport ofisi mbali mbali za jijini Dar Es Salaam software zifuatazo: 1.Pastel Partner 2.Sage Evolution 3.Sage Payroll 4.Sage HR 5.ERP Tally Yeyote anayetaka kujifunza...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
WhatsApp ndio App inayotumika sana katika kutuma na kusoma meseji. Uzuri wa App hii ni kwamba ni rafiki kwa watu kwani ni rahisi sana kuitumia. Kwa hili watu wanaipenda lakini vipi kama ukiwa...
1 Reactions
1 Replies
47K Views
Dunia inabadilika jamani! Chuo cha Georgia Tech kilichopo Atlanta Marekani sasa kinatoa Masters ya Computer Science kupitia mtandao kwa takribana $7,000 tu, bei ya kaiwaida ("campus") ya Degree...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimewavulia Kofia China kudadadek aisee nais baada ya miaka 10 kama hii mambo ya Copy generation Itaendelea nais itaua soko la hizi kampuni kubwa.China wametoa Simu aina ya Meizu Pro 6 (Copy ya...
2 Reactions
20 Replies
7K Views
Hii canon IR2018 photocopy/printer/sccaner ni mpya ila ushamba kazi! Nimenunua na cartridge ambayo kwenye manual ina jina la "drum unit" ila baada ya kusoma vizuri manual na kuangalia machine...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naombeni kujua namna ya ku upgrade window 7 kwenda 10 for free. Mahitaji yake ilinifanikiwe. Mwaka jana nilikuwa naona alert ya preparation ya PC yangu kuja kuwa window 10 siku hizi hata sioni ile...
0 Reactions
1 Replies
856 Views
ni mtandao gani wenye gharama nafuu zaidi zaidi hapa nchi Tanzania na wenye kasi inayo ridhisha kwa matumizi ya kupiga simu na kuperuzi na kupakua vitu mbalimbali kutoka mtandaoni?
2 Reactions
46 Replies
7K Views
Kwa wale wajuzi wa hizi issue naombeni.mnisaidie kama kuna mtu anaweza kunisaidia kuhack akaunti ya mtu anayenisumbua nipate tu namba ya muhusika ya simu naomba anisaidie Hata ikiwezekana mnipe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtoto amechezea simu app ya meseji siioni hivyo siwezi kutuma wala kupokea sms. nimejaribu ku download app nyingine ila hazifanyi kazi vizuri. Naomba kujua namna ya ku recover ya zamani.
0 Reactions
18 Replies
6K Views
juzi nilinunua vocha ya elfu 3 ya halotel moja nikajiunga kifurushi cha chuo na 1500 nikajiunga unlimited bundle cha usiku pack nikaja kuangalia salio kwenye unlimited bundle wakanambia ndugu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…