Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Msaada wakubwa nilipo install Bluestack kwenye computer niki open tu program neno hilo linatokea kuwa ms-win-core-errorhandling dil1-1-1 is missing please install first natumia window7 64Bit
0 Reactions
0 Replies
469 Views
Mashine ya edf inaandika technical overview must be excuted jamaa anataka 100000 Ku solve issue ni bolsto mashineza prima.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
jaman nina samsung yangu nimeiroot sasa nikitaka ku update software..inanambia PHONE HAVE BEEN MODIFIED NO UPDATES...nafanyaje kutoa root.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wale wataalamu wa blender software v2.71 nataka ku navigate sphere kuelekea kulia naitaji msaada .
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Salaamjf swali: Naweza piga simu (landlines) kwa kutumia modem ya huawei,laptop na headphone kwa kutumia software yeyote ile? hapa sija maanisha VOIP.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
msaada wakuu hivi laptop Za Fujitsu lifebook zenye pen calibration huwezi kutumia kidole kama ikitokea pen imepotea
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Wakuu tujuzane je naweza kuroot os za windows ..Tusiishie tu kwenye android tujuzane na hukuvpia
0 Reactions
4 Replies
934 Views
Wadau ningependa kufahamu kuhusu hizi line za tigo za 4g,je!ukiweka kwenye simu ambayo haina 4g inaweza kushika 3g na kama inashika speed inautofauti na line ya kawaida!
0 Reactions
1 Replies
619 Views
Naomba msaada wapendwa,, natanguliza salam,, ni kweli siwezi kuamisha baadhi ya vitu mfano music au picture kutoka simu ya android mfano tecno bum j 7 kwenda iphone yeyote??,tusaidiane
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Salam za jumapili nyote! Tafadhani sana wadau wa technology naomba kama Luna applications ambazo naweza kuzitumia kufuta NYIMBO NYINGI zailizojirudia kwenye simu au PC anielekeze au anitajie jinsi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nani ana uwezo waku-unlock vodamoc "wifi" vile vidogo kufanya vitumie line yoyote au wazyngu wanasema "universal "plz msaada
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Casting to analogue tv bila gharama. Salaam wana JF. Jana kutwa nimeshinda kutafuta/kubuni njia ya kutazama download digital content ya simu kwenye tv yangu analogi kwa gharama ndogo (hali ya...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu napenda kufahamu wapi nnaweza kununua generator ya kuzalisha umeme kwa kutumia upepo (Windmill generato) angalau 200 watts .. na bei yake. Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau-simu yangu ni Tecno L5 nikipokea picha, video au document inanibidi niangalie mda huohuo. Ikikaa dakika zaidi ya 10 nikitaka kufungua haifunguki inakuwa kama imeliwa na virus. Hi Naomba ushauri
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama umepakua programu ya QuickTime kutoka Apple kwenye kompyuta yako ya Windows unashuriwa kuiondoa mara moja Watafiti mbalimbali wa mambo ya kiusalama wa kimitandao wamegundua ni rahisi sana...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wanaJF Kwa bahati mbaya nimefuta Chanel zote za tanzania kwenye Receiver yangu hivyo sipati tena chanel za hapa nchini, hivyo basi naomba msaada kwa mtu mwenye frequency za ITV, TBC...
2 Reactions
14 Replies
45K Views
kwa wataalamu wa simu ni faida gani ya kuroot simu ya android pia na hasara zake.
0 Reactions
52 Replies
17K Views
Nataka nikanunue Huawei Y6 Pro nimewauliza Facebook(Huawei Tanzania) wameniambia nisogee Mwanza Mall naombeni mnishauri na bei yake ni 420,000/=,??
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu. Nina tatizo kwenye simu yangu ninaomba msaada wenu. Ninatumia simu ya Sony Xperia L (C2105). Ni miezi minne sasa device hii inashindwa kutoa sauti kama ilivyokuwa mwanzoni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kwasababu nimenunua lg nexus 5 D820 haishiki 4G ya Tigo.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…