Msaada-picha, video kwenye whatsap yangu

Msaada-picha, video kwenye whatsap yangu

Wi_Fi

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2014
Posts
211
Reaction score
193
Wadau-simu yangu ni Tecno L5 nikipokea picha, video au document inanibidi niangalie mda huohuo. Ikikaa dakika zaidi ya 10 nikitaka kufungua haifunguki inakuwa kama imeliwa na virus. Hi

Naomba ushauri
 
Wadau-simu yangu ni Tecno L5 nikipokea picha, video au document inanibidi niangalie mda huohuo. Ikikaa dakika zaidi ya 10 nikitaka kufungua haifunguki inakuwa kama imeliwa na virus. Hi

Naomba ushauri

Nenda kwenye whatsapp settings, chats and calls, media, save incoming media weka Tick
 
Back
Top Bottom