Msaada kuhusu kupiga simu kwa njia ya mtandao

Msaada kuhusu kupiga simu kwa njia ya mtandao

Jindal Singh

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
1,857
Reaction score
1,542
Salaamjf

swali: Naweza piga simu (landlines) kwa kutumia modem ya huawei,laptop na headphone kwa kutumia software yeyote ile? hapa sija maanisha VOIP.
 
Salaamjf

swali: Naweza piga simu (landlines) kwa kutumia modem ya huawei,laptop na headphone kwa kutumia software yeyote ile? hapa sija maanisha VOIP.

unamaanisha kupiga simu kawaida? kwa kutumia vocha au dakika? kama ni hivyo inawezekana endapo dashboard yako inasupport.
 
unamaanisha kupiga simu kawaida? kwa kutumia vocha au dakika? kama ni hivyo inawezekana endapo dashboard yako inasupport.
Yap! kama kawaida kwa kutumia pc yaani kwa vocha hizi hizi za dk 9 40sms na 1mb. modem yangu ni huawei ya tigo iko unlocked ivyo natumia airtel.
 
Back
Top Bottom