Tusaidiane waungwana (iPhone vs android phones)

Tusaidiane waungwana (iPhone vs android phones)

Lee

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
44,006
Reaction score
150,541
Naomba msaada wapendwa,, natanguliza salam,, ni kweli siwezi kuamisha baadhi ya vitu mfano music au picture kutoka simu ya android mfano tecno bum j 7 kwenda iphone yeyote??,tusaidiane
 
Iphone ni Milion 1 na nusu!


Tukua hiyo laki tano andaa banda la kuku

Hiyo milion 1 itumie kununua vifarang!


Hiyo hela milion 1.5 ukiiwekeza kwenye mradi wa ufugaji wa kuku ndani ya mwezi 1 tu utaingiza faida na utakuwa na hela ya kununua iphone os na adroid!
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Iphone ni Milion 1 na nusu!


Tukua hiyo laki tano andaa banda la kuku

Hiyo milion 1 itumie kununua vifarang!


Hiyo hela milion 1.5 ukiiwekeza kwenye mradi wa ufugaji wa kuku ndani ya mwezi 1 tu utaingiza faida na utakuwa na hela ya kununua iphone os na adroid!
Najua mkuu,, ila sijamanisha ivoo,,soma uelewe mkuu
 
Back
Top Bottom