Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Daaaah huu mtandao walah ni nomaaaa, nashusha movies fasta kama nadownload image.. Hongereni sana Halotel
10 Reactions
523 Replies
65K Views
Nahitaji kuingiza window kwenye PC yangu inanigomea naomba msaada Katika boot device menu kuna vitu vifuatavyo *onboard sata hard drive ,*onboard or USB CD ROM drive *system setup *hard drive...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari wakuu Jf imekua msaada kwa watu wengi sana tunao ifaahamu.. Kwakulitambua hilo nami nimeamua kutumia fursa hiyo ila kupata msaada. Nataka nifungu kaofic kangu kakutengeneza simu, hivyo...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Kutokana na muda wangu kwa sasa, na ujuzi nilionao, nimeona ni vyema nikawawezesha wasio na uwezo wa kumiliki magazeti yao waweze kuyamiliki na warahisishe mambo yao. Iwe biashara au charity, ni...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu kuna ipad ya apple inaanza kustack au kuwa nzito wakati wa kuperuzi Hivyo kufanya kufungua page taratibu au wakati mwingine kujifunga wakati unaendelea kuperuzi Je ni kitu gani cha kufanya...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari gani? wadau wa Tech,Gadgets&Science forum.Nimekuwa nikisumbuka saana kuinstall whatsapp katika Laptop yangu inadai kama space ndogo inataka 2GB na nikalidhia nikapunguza mzigo ila bado...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za weekend hii waungwana. Leo nilipata notification ya system update ya TECNO BOOM J8 ili kufix bugs zilizopo kwenye version ya sasa. Baada ya kuapkuwa na nilipoanza kuisakinisha (ku...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu? Mimi najitahidi ku install window 8 kwenye desktop yangu aina ya HP compaq inakusanya mafile ila ikijirestart inakuja error namba 2211 yenye maelezo haya 'Memory not configured...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Simu yangu ya iphone 4s haitoi option ya hotspot ninapoweka laini ya halotel, nashindwa kushare na macbook yangu. Naomba msaada kwa anayefahamu namna ya kupata huduma ya kushare network ktk laini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kila ikizima nikisema niiwashe inaandika hivyo na inakaa muda mrefu Android is upgrading Optimizing app 1 to 200 Ina loading mda mrefu ndo iwake hata 30 minutes TECNO_8H Ina apps nying
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Jamani naombeni msaada ndugu zangu kila nikitaka kuangalia movies you tube wananiambia nifuate blue link je naipataje ili niweze angalia hii movie London has fallen?
0 Reactions
1 Replies
562 Views
Kichwa cha habari kinajieleza mwenye hotspot device;tufanya biashara nicheck hapa au pm.
0 Reactions
1 Replies
800 Views
cc. Chief-Mkwawa Njunwa Wamavoko
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Niko na smartphone naomba kuuliza nitaonaja hii finally ya man u please
0 Reactions
1 Replies
893 Views
Wadau kwenye hii Tecno p5 ya rafiki yangu ile sehemu ya sim management-defaut setting kwenye voice call,video call,messages hizo sehemu zimejifunga kwa hiyo huwezi kubadili chochote mfano unataka...
0 Reactions
4 Replies
682 Views
Habar za wakat huu Wadau. Nina tatizo kwenye Simu yangu, nikiweka laini ya Airtel inawasha GPS automatically kama nimewasha data na hata nikizima baada ya sek kama 45 inajiwasha tena nimeshindwa...
0 Reactions
5 Replies
870 Views
Wakuu kuna rafiki yangu anasimu tajwa hapo juu ina tatizo kila anapompigia mtu inaleta Ujumbe normal calls are restricted by access control,sasa naomba msaada nitatatua vipi tatizo hill.
0 Reactions
2 Replies
935 Views
wap naweza download muv mpya for free kwa kutumia idm
1 Reactions
5 Replies
934 Views
Natumai muwazima wapendwa wanajukwaa, Naomba maelekezo ya kuungaanisha / kufanya wi-fi kuwa active na kuweza kuaccess internet kwenye compyuta, Kwa kutumia simu aina ya Sony experia z ultra...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…