Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

hebu nisaidieni wadau Hii PC yangu nilijaribu kuinstall GTA 4 vice city game lakini baada ya Kuinstall hili game nilipojaribu kulifungua linagoma inakuja Meseji ya "not enough video memory" sasa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
accounts za adsense zinauzwa kwa bei ya sh 10000 kwa kila accounts na kama unataka nyingi i mean zaid ya moja tunaweza kuingia patnership kila baada ya siku 3 nakutengenezea accounts as many as u...
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Wenye ving'amuzi vya Startimes tunaweza kuangalia fainali za UEFA CHAMPIONS LEAGUE ?
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Ni zile saa za kijanja Kwa mawasiliano zaidi WhatsApp namba +255652971495
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Wadau hivi simu yangu ndo setting haziko poa au coz nikiweka line ya halotel sipati hotspot ili kuweza kutumia net ya simu kwenye laptop, sijajua tatizo ni nini ila natumia iphone 5 au kwa iphone...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Wadau naomba msaada wenu juu Ya MADHARA Ya ku root SIMU. Binafsi SIMU yangu nimei root Sasa ningependa kufaham MADHARA yake. Naomba kuwasilisha
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Zipo katika hali nzuri pamoja na pad zake, flash zake na games. Bei ni sh. 150000 kwa moja. Zipo mbili. Kwa mawasiliano 0717 743549 Nipo Arusha.
2 Reactions
0 Replies
702 Views
Ndugu zangu wapendwa naomba msaada wa kuweka matenki ya wino ya nje kama ya Hp na Epson.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
My HTC first mobile phone for those who know it has this problem of not able to share internet connection through Tethering and portable hotspot... Although it has all the options except Bluetooth...
0 Reactions
6 Replies
946 Views
Kampuni ya hp baada ya mafanikio makubwa inayopata kwa computer zake (desktop/laptop) pamoja na vifaa vingine kama tablets n.k soon mwezi wa sita watatoa simu yao matata sana inaitwa hp elite x...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Hello Guys... Am having trouble to remove a write protection on my flash drive. I have tried changing the attributes, modifying the registry to 0...so if there is anyone who knows any other way of...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimehangaika toka asubuh sijafanikiwa kupata solution. nmenunua CABLE YA HDMI ili niwe na connect laptop kudisplay kwenye TV SAMSUNG sijafanikiwa. my laptop ni toshiba c850 windows 7 32 bit ndo...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
kuna option hapa inaitwa AWARD wadau natakiwa niandike nn ni online application msaada na hio sehemu ya subject master
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jana usiku nimepakua vitu vya maana plus apps za kutosha for free
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Enter SIM ME lock code [NP](Attempts remain 10, INASEMA HIVYO , HYO NI BAADA YA KUWEKA LINE ZOTE 2 NA KUIWASHA INANIULIZA HIVYO , NIKIWEKA TIGO TU, HAIULIZI HIVYO. Msaada wakuu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu, nimekua nikijaribu kuinstall whatsapp plus, GB etc. Makini hii error imekua ikijitokeza: App not installed. An existing package by the same name with a conflicting signature is...
0 Reactions
2 Replies
893 Views
Haka kasim bado nakapendaga tangu nikatumie 2013 navutiwa umbo lake la utelzu ntakapatawapi sasa kakaiwa kapya
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Wasalaam. Mwenye uwezo wa kunisaidia hili tafadhali, nimedownload movie lakini ili kuifungua inanilazimu niwe na password na wametoa na link ambayo kupitia hiyo nitapata password lakini kila...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…