Nokia 5130 express music

Nokia 5130 express music

mathsjery

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
2,287
Reaction score
1,855
Haka kasim bado nakapendaga tangu nikatumie 2013 navutiwa umbo lake la utelzu ntakapatawapi sasa kakaiwa kapya

1463262835795.jpg
1463262848723.jpg
 
Yaani umenikumbusha mbali sana. Nakumbuka matumizi ya "flash messages". Yaani message ambayo haijisevu kwenye message app mfano ni kama zile za kuangalia salio ukishasoma ukitoka na msg haipo. Inasaidia kitoweka ushahidi.Yaani nokia walikuwa vizuri.
Nimejaribu apps za android ni mizinguo tu.
 
Kuna Nokia E51 hii simu niliinunua bei mbaya sana bahati mbaya ikadondoka nikiwa kwenye daladala yaani naimiss mno. Niliionaga mahali ila bei ilikua Kali sana 350000 mwaka jana
 
Kuna Nokia E51 hii simu niliinunua bei mbaya sana bahati mbaya ikadondoka nikiwa kwenye daladala yaani naimiss mno. Niliionaga mahali ila bei ilikua Kali sana 350000 mwaka jana
Ebwna hiyo E51 ndio nilikuwa nakatumia kabla sijakatumia haka ka expressMusic,iko ka simu internet yake imetulia.
 
hivi kwanini nokia wasirudi kwenye game jamani

tunakumbuka ubunifu, uimara na ubora wa bidhaa zao ulio tukuka.
Watarudi mwaka huu nadhani kuanzia katikati.
 
Kuna Nokia E51 hii simu niliinunua bei mbaya sana bahati mbaya ikadondoka nikiwa kwenye daladala yaani naimiss mno. Niliionaga mahali ila bei ilikua Kali sana 350000 mwaka jana
Mimi ninayo E72 . Nokia warudi kama zamani tu
 
Kuna Nokia E51 hii simu niliinunua bei mbaya sana bahati mbaya ikadondoka nikiwa kwenye daladala yaani naimiss mno. Niliionaga mahali ila bei ilikua Kali sana 350000 mwaka jana
Mimi nilikua na E-61 kilikua ni chuma kweli,sasa hivi kiko kabatini tu
 
Naweza kuiza kama utaridhika nayo. Naonaa tabu kuipeleka kwa fundi. Imearibika spika na betri halikai na chaji sana.
Naomba nitumie picha za hio simu pm mkuu. Nione imechakaa how much nitathmini gharama za repair.
Nahitaji sana simu za Nokia.
Hapa nilipo nina Nokia X2:02 toka 2010
Huwa nabadilisha tu housing.
 
Back
Top Bottom