donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,138
Jana usiku nimepakua vitu vya maana plus apps za kutosha for free
Ni kwanzia usiku saa6 hadi saa12, ile internet wanayosema ya kuangalia YouTube videos for free unauwezo wa kupakua vitu pia unlimitedongea sasa umejiungaje
Ni appreciation mkuu sio advertLipia hili Tangazo..
Ulitumia website gan kudownload hizo apps.!?Jana usiku nimepakua vitu vya maana plus apps za kutosha for freeView attachment 351015
Dah Yaani nikae macho paka saa 6 usiku kisa nisubiri free downloads .. Kweli nimeamini bure ni ghari sanaaa..Ni kwanzia usiku saa6 hadi saa12, ile internet wanayosema ya kuangalia YouTube videos for free unauwezo wa kupakua vitu pia unlimited
Pole mkuu, sisi tuna autoruns na tasks schedulers, pole kma still uko age ya kusubiriDah Yaani nikae macho paka saa 6 usiku kisa nisubiri free downloads .. Kweli nimeamini bure ni ghari sanaaa..
PlaystoreUlitumia website gan kudownload hizo apps.!?
Mostly games mkuuApps gani ulidownload bure?
HahaAfisa masoko wa tigo kumbe naye yumo huku
Jana nimejaribu ikakataaa ama kwa sababu tigo wanajua nachukia mtandao wao?Jana usiku nimepakua vitu vya maana plus apps za kutosha for freeView attachment 351015
Hahaha, mbona mi bado sana tuJana nimejaribu ikakataaa ama kwa sababu tigo wanajua nachukia mtandao wao?
Kwel mkuu but ume neglect the fact that sio wote tuna access ya kupata hizo free Wifis kwa ma office maana mikate yetu yakila siku haiinvolve physical officeOoh pole unakesha usiku kwa ajili ya ku download bure. Unanikumbusha miaka ilee ya hakuna kulala simu mnapigiana usiku wa manane. Mbona nowdays free Wi-Fi ziko nyingi tu maofisini mkuu? Yani unapakia na kupakua unavopenda.
Siyo kila mtu yuko ofisini mkuuOoh pole unakesha usiku kwa ajili ya ku download bure. Unanikumbusha miaka ilee ya hakuna kulala simu mnapigiana usiku wa manane. Mbona nowdays free Wi-Fi ziko nyingi tu maofisini mkuu? Yani unapakia na kupakua unavopenda.