Mswaki wa dola 400 za kimarekani utakaokusafisha wakati huo huo ukiwa unakupa video za moja kwa moja (LIVE) za kinywani mwako kupitia simu yako.
Kampuni ya Onvi inayotengeneza miswaki ya umeme...
Wadau salaam,
Nipo hapa natuma attachments kwenye e mail nikisend napata ujumbe huu
"To prevent abuse, your message cannot be sent now. If the message contains only a link, please add some text...
wadau naomba msaada wa lisence key ya window 8.1 pro.
maana product key yangu
00178-10140-00000-AA515
inaexpire July 5..
natanguliza shukrani
@chiefmkwawa na wengineo.
Wadau naamini mpo wazima, nahitaji msaada wenu kwa tatizo la simu yangu huawei y300 ambayo nilii-root. Baada yya rooting imekuwa na Tabia ya kuinstall uc mini bila ridhaa yangu na kila nikipitia...
Heshima kwenu wandugu.
Kutokana na hali ilivyosasa mahitaji ya pc yamekuwa makubwa sana. Mimi ni mmoja kati ya wahitaji wakubwa wa kompyuta (PC).
Kwa kuwa nina uhitaji ila siyo mtaalam wa hivi...
Kama simu yako inatumia media tek chip mfano tecno. itel, lenovo, n.k unapata R badala ya 3g hata ukizima option ya roaming download mtk engeneering tools kule playstore then fuata hizi hatua
Naona hii mitandao inaZingua sana na matangazo yao ya 4g kama vile kila simu inasupport. Inawezekana kweli kuhamia 4g kama inavyowezekana kuhamia marshimallow?
Za masiku wakuu,
ni siku nyingi sana sijapita jukwaa hili kuanzisha mada zinazohusiana na masuala ya animation/graphics design.
Leo nimechepuka kidogo kuwasabahi wakuu wangu.
wakati mnapokea...
Msaada wakuu..simu yangu inazimika ghafla bila matarajio..angali imejaa chaji na pia situmii external memory..msaada wakuu.lg g flex 2.international model
Ni model gan ya iphone 6 ambayo ina tumika international mana naona kuna models tofaut kutegemea na nchi je model ya kimataifa ni ipi na kaa Tanzania model ina fanya kazi... Mana simu ata kama...
JINSI YA KUJUA SIMU ORIGINO NA FEKI
Kabla hujanununa simu mpya hakikisha unaandika namba hii *#06# , itaonyesha namba ya pekee (serial
number ) au IMEI (International Mobile Equipment Identity)...