Za leo wana jamvi ningependa ni wajulishe hii app ya mobdro inayo kuwezesha kuangalia tv za Europe na marekani online. Ina channels kibao kama MTV base zote una zo zijua ww na channels zengine...
Naomba mnifahamishe jinsi ya kurudisha old window kwenye PC HP coi5, mwanzo nilikuwa natumia window 7pr nika-upgrade to window 10 so naona inanishinda kutumia, naomba maelekezo ili nirudshe window...
Habari ya Jumamosi wana JF.
Miezi miwili iliyopita nilinunua Desktop kwenye duka linaloitwa Alasco Computers lililopo mtaa wa Uhuru Kariakoo. Ndani ya PC waliweka window 8 ambayo ilikuwa ya trial...
Habari ndugu zangu, mwenye key za ms office 2013 naomba anisaidie maana lap top yangu nilinunua na wakanifanyia installation ya ms office, sasa inaniletea sms ya kutaka ni activate na bado siku...
Huo ni ujumbe ninaoupata ninapolocate pointer kwenye icon ya battery, sometimes inacharge na sometimes haicharge. Nimejaribu ku-uninstall and ku~reinstall ACPI nikidhani kuwa inaweza kuwa corrupt...
Jamani mimi nina simu yangu aina ya huawei Y530 ina tatizo moja, nikiwa naiwasha ina andika neno huawei alafu ina andika android na ndio mwisho wake aw kuwaka hapo.
Msaada wakuu
Jinsi ya kusoma ujumbe wa Whatsapp kisiri bila ya aliyekutumia kujua kama umesoma ujumbe wake
WhatsApp-Last-Seen-Timestamp-on-your-iOS-and-Android-devicesVitiki viwili vya bluu katika Whatsapp...
Wapendwa naomba mnisaidie kwa hilo nihitaji kuhamisha data toka kwenye simu kwenda kwenye pc lakini nikichomeka usb cable inacharge tu na ukienda kwenye setting ya usb imefaint. Karibuni kwa msaada.
wadau natanguliza shukran. kwa yeyyote jukwaani anayeweza kutumia gps ya kwenye simu kupima viwanja basi atupe maujanja. atusaidie namna ya kutambua uwepo wa barabara na open space ktk maeneo...
wadau simu yangu aina ya samsung galaxy star pro GT 7262 imekuwa haina sehemu ya kubadili mtandao kwenda 3G au 4G zaidi ya mtandao kusoma E mpaka inanikera ila kuna hii sehemu katika cm yng...