Naombeni msaada wa maelekezo yenu juu ya aina gani nzuri ya Printer kwa ajili ya kusafishia picha za digital studio na bei zake. PRINTER YA KISASA KABISA ITAKAYONIWEZESHA KUFANYA BIASHARA KWANI...
*WAPENDWA WOTE*
Leo nitawaletea somo la namna ya kupangilia fonts za maandishi yako katika Whatsapp
Kina wakati unataka kuonyesha Kichwa cha habari ama msisitizo kwa ku-bold ama ku-highlight...
Niaje wakuu,
Ni muda mrefu sijapost kitu humu. Leo nakuja na swala moja tu ambalo Kwa developers ni muhimu.
Je kuna APIs zozote specifically kwa Tanzania?
Mfano, tuna news network nyingi sana...
Leo nimepata updates za Marshmallow kwa simu yangu ya Galaxy J7 kupitia OTA. Hope wengine pia mkiupdate simu zenu mnaweza kupata.
File size ni Mb 824 so inabidi uwe umejipanga hapo kwenye bando.
Jaman matechnician naomba msaada wa kuweza kuifungua / unlock HUAWEI Y3II Ili niweze kuenjoi laini zote kwani nateseka sana na kutumia laini walioikusudia.
Naomba kuwasilisha
Nimejaribu njia nyingi za kuroot hii simu bila mafanikio nilianza na hiyo kingroot sim inajiRestart tu na nikijaribu desktop version simu bado inajirestart nijaribu njia ipi?
Kila njia nikijaribu...
Wanajamii habari ya kwenu naomba mnisaidie jinsi ya kuondoa root kwenye sim , niliroot kwa kingroot sasa naona inasumbua sana simu inapoteza poteza sana inazima mara inawaka
Offer ya microsoft ya kupata Windows 10 ya bure inaisha wiki hii, baada ya hapo bei zitaanzia $120 kwenda mbele kwa kila PC.
Inapatikana hapa How to Upgrade to Windows 10 - Microsoft
Upgrade...
Kwa anaejua application inayoweza kuplay music wakati ukiwa unaongea na simu kwa muda huo huo yan(while calling),na pande zote mbili ukawa unasikika,kwa upande wa mpigaji na mpigiwa,
msaada wako...
Habari wakuu, naomba kufahamu Kama kuna app ya kublock call, ambayo akipiga simu isipatikane kabisa na Siyo itoe notification ya kwamba simu inatumika Kama app Zingine zinavyofanya.
Habari wakuu natumai mwaendelea vyema na shughuri ya kujenga taifa letu ni ivi wakuu naomba msaada wa apps aina mbalimbali na games za kijanja niinjoy hii simu natanguliza shukrani wakuu
Hey guys, today i decided to start making screen-casts mostly targeting swahili speakers, i am not very good speaking especially tech in Swahili so nimechanganya lugha kidogo lakini point is i...
Nikola Tesla was killed for these notes,killed by JP Morgan probably.His notes were read and that is how the new world order has become such a great force.Tesla laid the groundwork for creating...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.