Ndugu zangu.. Mie ninalapto nimekuwa natumia modems za voda na airtel hapa mjini Mrogoro. Airtel ilikuwa vizuri sana wiki chache zimepita, lakini sasa hivi hata connect inakataa. Tatizo nininiiiii? Bundle tunanunua lakini hazifanyi kazi?
Naombeni ushauri.
Naombeni ushauri.