Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Nani anajua college nzuri INA courses za programming , please recommend
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari wana JF, Naomba mnisaidie mbinu za kufanya ili niweze kuipata simu yangu aina ya SAMSUNG NOTE 5 niliyoibiwa leo usiku. Msaada tafadhari.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ingawa hii story inahusu how Yahoo fall naamii ina mengi mno ya kutufundisha kwenye nyanja mbalimbali za maisha.....mbali na technology tu na business... The rise and fall (OK — mostly fall) of...
4 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu huwa nafanya voice overs, then someone hunisaidia kufanya editing. Kwa sasa nilikuwa nataka mwenyewe ili sauti ambayo inasikika, clear na ni high quality. Nimefanya noise reduction...
0 Reactions
5 Replies
909 Views
msaada kwa mwenye uwezo wa kufix net framework ya 3.5 katika windows 8 mana kuna baadhi ya software nashindwa kuinstall kwa sabab ya net framework ya 3.5 haiwekwa kutumika katika windows 8
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimedownload na kuinstall hii app kwenye computer ila sikumbuki password zake tena. Naombeni kama kuna mtu anajua anipe msaada huo wa kutoa hayo mafile kwenye folder locker. Natanguliza shukurani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nilipolwa smartphone yangu na vibaka siku kadhaa zimepita na mpaka hapa nimekwenda kulipoti police but sijapata muhafaka jinsi ya kuweza kuipata, msaada toka kwenu ni njia gani muhafaka...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Naomba msaada jinsi ya kuipata simu yangu ambayo nimeibiwa usiku, ni Samsung tablet
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Habari za leo wakuu, ninataka kudownload file la windows 8 kupitia torrent, lina ukubwa wa 3.77 GB. alafu niliweke kwenye flash, kisha ni install, naomba mnijuze nina hitaji kufanya nn ili...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Nimepiga window mpya jana katika PC yangu, lakini nashangaa toka nipige hyo window naletewa huu ujumbe baada ya kuingia internet nashindwa kuelewa nini tatizo, nimejaribu kutmia browser tofauti...
0 Reactions
6 Replies
849 Views
Watu wengi kwa Sasa wanapendelea ku root smartphone zao nikiwa kama mmojawapo aliyefanikisha ku root nipo tayari kuwasaidia watakaohitaji
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari wana Jamvi, Naomba kujuzwa kama kuna application yoyote inayoweza kutrack SMS and whatsup
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Naombeni msaada wa maelekezo yenu juu ya aina gani nzuri ya Printer kwa ajili ya kusafishia picha za digital studio na bei zake. PRINTER YA KISASA KABISA ITAKAYONIWEZESHA KUFANYA BIASHARA KWANI...
0 Reactions
24 Replies
12K Views
Habari matechnician naomba kuelekezwa jinsi ya kurudisha imei ya simu ya itel pamoja na software zitakazo tumika
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau naombeni msaada nahangaika na king'amuzi cha azam toka jana yaani hakisomi kabisa
0 Reactions
1 Replies
10K Views
*WAPENDWA WOTE* Leo nitawaletea somo la namna ya kupangilia fonts za maandishi yako katika Whatsapp Kina wakati unataka kuonyesha Kichwa cha habari ama msisitizo kwa ku-bold ama ku-highlight...
20 Reactions
94 Replies
13K Views
Niaje wakuu, Ni muda mrefu sijapost kitu humu. Leo nakuja na swala moja tu ambalo Kwa developers ni muhimu. Je kuna APIs zozote specifically kwa Tanzania? Mfano, tuna news network nyingi sana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo nimepata updates za Marshmallow kwa simu yangu ya Galaxy J7 kupitia OTA. Hope wengine pia mkiupdate simu zenu mnaweza kupata. File size ni Mb 824 so inabidi uwe umejipanga hapo kwenye bando.
1 Reactions
0 Replies
891 Views
Jaman matechnician naomba msaada wa kuweza kuifungua / unlock HUAWEI Y3II Ili niweze kuenjoi laini zote kwani nateseka sana na kutumia laini walioikusudia. Naomba kuwasilisha
0 Reactions
0 Replies
998 Views
Nimejaribu njia nyingi za kuroot hii simu bila mafanikio nilianza na hiyo kingroot sim inajiRestart tu na nikijaribu desktop version simu bado inajirestart nijaribu njia ipi? Kila njia nikijaribu...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Back
Top Bottom