Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Heshima kwenu wakuu,samahani nahitaji maelekezo namna ya ku Update Blackberry 9800, Shukrani kwenu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari ya asubuhi, pole na kazi. Juzi nimenunua simu ya BlackBerry. Naona setting zake ni tofauti na simu nyingine, nahitaji kuinstall baadhi ya app lakini naona ipo tofauti nikiingia BlackBerry...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau ninasimu tecno boom j7 unapoiwasha baada ya dk3 inajizima na kujiwasha tena na nimejaribu kuifanyia head reset lakini tatizo liko palepale tatizo ni nini! Wadau.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tafadhali naomba msaada wa software ya oxford advanced learner english dictionary. Kwa matumiz ya kwenye kompyuta.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Pls wadau naomba kujua ni vp naweza angali mpira kwny simu pls wadau
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Salam. Mimi sijui mambo ya IT ila mimi ni mwalimu ila natoa wazo bure!! Nyie watu walimu na wafanyakazi wa serikali wa idara nyingine wamekuwa wanahangaika humu kubadilishana vituo vya kazi mimi...
15 Reactions
70 Replies
7K Views
Msaada Software katika simu inayoweza kuedit picha ikawa na white background... Manor Anayejua atujuze basiii
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wakuu Nahitaji kufahamu jinsi ya kufanya flash(usb) kuwa bootable kwa kutumia command prompt kwa niweze kuweka windows na kuboot kwa kutumia flash hiyo Asante
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hii ni messanger kama vile whatsapp ya kupata habari katika sekta mbalimbali ikiwemo michezo,burudani,uchumi,utabiri na hata michezo/games. Hii duta ipo whatsapp ambapo unadd namba sasa kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za muda wadau. Kwa wale wenzangu wa kushisha (download) vitu mbalombali Kama movies, applications mbalimbali, novels, programs, n.k. Hasa kupitia site kubwa ya file sharing, Kickass.com...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
wadau nataka kununua simu pia aina ya infinix hot s...mwenye kjjua anijuze tafadhal
0 Reactions
0 Replies
3K Views
salaam. Naomba msaada ni muda sasa nahangaika na hili tatizo. Mwenye utaalam naomba msaada tafadhali
0 Reactions
5 Replies
965 Views
Cm hii inasumbua kusevu app kila nikidownload inaandika internal storage full huku sijainstall app yoyote nifanyeje?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Binafsi huwa si chezagi video games at all. Especially "cellphone games " rafiki Yangu mmoja ameni introduced kwenye hii game initwa Pokemon Go. Nimejikuta nime tembea kilometa 32 bila hata...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Kampuni ya Samsungu mobile imezindua simu mpya aina ya Galaxy Note 7 ikiwa ni muendelezo wa Galaxy Note series. Simu hii mpya imekuja na vitu vingi vipya na vizuri zaidi ya aina zilizopita. Hapo...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari wanajanvi,nina hiyo tab tajwa hapo juu,inaninyima raha kabisa,kwanza internet ipo slow sana kwa upande wa mobile data,lkn nikitumia wi-fi ya ofcn mambo yanakua poa kabisa na speed ya...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, nina simu yangu Nokia Lumia 520. Nilliupgrade OS kutoka 8.1 kwenda 10. Matokeo yake inachemka balaa unaweza hata kuchemshia maji, pia inamaliza chaji mapema almost masaa mawili...
0 Reactions
2 Replies
789 Views
Kijana Deodatus Goodluck Mtanzania ambaye ameonyesha umahiri wa hali ya juu katika sayansi kwa kutengeneza Solar Packs (Bags) kwa ajili ya kusaidia nishati hasa kwa vijijini watoto wetu wasome na...
0 Reactions
6 Replies
774 Views
Hellow, Ninahitaji kumblock/mute user mmoja kwenye group la whatsapp bila yeye kujua, nafanyaje. Maana ni tatizo kwenye group na hatuwezi kumtoa ili asijue lolote. Asante
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom