Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Sony Telecommunications walipo ruhusu simu zao hasa uzao wa Xperia kusonga mbele kwenye OS ya Adroid hasa kuna baadhi ya OS Version kama Marshmallows ilizingua kwenye kutunza Chaji tofauti na...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Ningependa kufahamishwa chuo/kituo kinachotoa huduma za mitihani ya 1. CISCO ( CCNA, CCNP na hata CCIE) 2. Linux (LPI exams) Haswa sehemu wanaporuhusu kufanya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu wana jamvi bila shaka mpo vizuri naomba watumiaji wa cm tanjwa hapo tukutane humu ili tubadilishane uzoefu wa matumizi yake. Kiufupi kwangu nimesha jaribu ku update cm yangu kwenda lollipop...
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Jamani computer yangu aina ya HP inanipa pressure sana mwanzo program zilikuwa zinafanya kazi vizuri tu, akaja mtu nikachomeka EXTERNAL nilipoitoa tu program zote zikawa stopped work kila...
0 Reactions
2 Replies
831 Views
Naomben msaada jinsi ya kujailbreak ps3 yangu.
0 Reactions
0 Replies
731 Views
Natumia simu aina Sumsung Tablet 3, NATUMIA ANDROID OS, NATAKA KUHAMIA CYANO..msaada wakuu nafanya vipi msaada tutani
0 Reactions
2 Replies
839 Views
Heshima kwenu wakuu,samahani nahitaji maelekezo namna ya ku Update Blackberry 9800, Shukrani kwenu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari ya asubuhi, pole na kazi. Juzi nimenunua simu ya BlackBerry. Naona setting zake ni tofauti na simu nyingine, nahitaji kuinstall baadhi ya app lakini naona ipo tofauti nikiingia BlackBerry...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau ninasimu tecno boom j7 unapoiwasha baada ya dk3 inajizima na kujiwasha tena na nimejaribu kuifanyia head reset lakini tatizo liko palepale tatizo ni nini! Wadau.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tafadhali naomba msaada wa software ya oxford advanced learner english dictionary. Kwa matumiz ya kwenye kompyuta.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Pls wadau naomba kujua ni vp naweza angali mpira kwny simu pls wadau
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Salam. Mimi sijui mambo ya IT ila mimi ni mwalimu ila natoa wazo bure!! Nyie watu walimu na wafanyakazi wa serikali wa idara nyingine wamekuwa wanahangaika humu kubadilishana vituo vya kazi mimi...
15 Reactions
70 Replies
7K Views
Msaada Software katika simu inayoweza kuedit picha ikawa na white background... Manor Anayejua atujuze basiii
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Habari wakuu Nahitaji kufahamu jinsi ya kufanya flash(usb) kuwa bootable kwa kutumia command prompt kwa niweze kuweka windows na kuboot kwa kutumia flash hiyo Asante
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Hii ni messanger kama vile whatsapp ya kupata habari katika sekta mbalimbali ikiwemo michezo,burudani,uchumi,utabiri na hata michezo/games. Hii duta ipo whatsapp ambapo unadd namba sasa kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za muda wadau. Kwa wale wenzangu wa kushisha (download) vitu mbalombali Kama movies, applications mbalimbali, novels, programs, n.k. Hasa kupitia site kubwa ya file sharing, Kickass.com...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
wadau nataka kununua simu pia aina ya infinix hot s...mwenye kjjua anijuze tafadhal
0 Reactions
0 Replies
3K Views
salaam. Naomba msaada ni muda sasa nahangaika na hili tatizo. Mwenye utaalam naomba msaada tafadhali
0 Reactions
5 Replies
964 Views
Cm hii inasumbua kusevu app kila nikidownload inaandika internal storage full huku sijainstall app yoyote nifanyeje?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Back
Top Bottom