donata fredy
Member
- Jul 22, 2016
- 45
- 87
Habari ya asubuhi, pole na kazi.
Juzi nimenunua simu ya BlackBerry. Naona setting zake ni tofauti na simu nyingine, nahitaji kuinstall baadhi ya app lakini naona ipo tofauti nikiingia BlackBerry world haionyeshi baadhi ya app na nikitafuta haziji kabisa.
Msaada wenu nahitaji iwe kama smartphone za kawaida. Ni BlackBerry Q10
Juzi nimenunua simu ya BlackBerry. Naona setting zake ni tofauti na simu nyingine, nahitaji kuinstall baadhi ya app lakini naona ipo tofauti nikiingia BlackBerry world haionyeshi baadhi ya app na nikitafuta haziji kabisa.
Msaada wenu nahitaji iwe kama smartphone za kawaida. Ni BlackBerry Q10