Habari wakuu!
Naombeni mnipe maujanja ya nisipelekwe youtube app ninapokuwa ninastream kwa kutumia browser ya Opera Mini,shida yangu ipo hapo tu kwenye opera mini,browser nyingine kama default...
Habari za Leo greater thinkers.... Mimi Nina shida kidogo naomba kueleweshwa na wajuzi wa haya mambo ..kuna mitaa huwa nikikatiza simu yangu inaandika available wi,_fi network but huwa siielewi...
habari wakuu, hivi kuna utaratibu wowote ambao unatakiwa kuufuata au kupata kibali kwa ajili ya kuanzisha website ya kuweka habari za michezo za kitaifa na kimataifa mfano kuweka habari za ligi...
Nina file za excel zipo kwenye folder moja,nikijaribu kufungua zinaleta ujumbe huu kama inavyoonesha kwenye hii picha, naombeni msaada wenu maana nimejaribu kila namna ngoma imegoma.
Kama una taka ongeza nafasi kweny simu yako bila kufuta chochote fanya hivi
1. Angalia simu yako Ina gb ngap ambazo zime baki
2. Download file leny ukubwa zaid ya gb ambazo zimebak kwenye simu...
Habari zenu wanajamiiForums
Nilikuwa naulizia hivi tofauti kubwa ya MICROSOFT EXCEL na MICROSOFT ACCESS ipo wapi maana kama format ya data entry inaweza kutumika hata ukitumia Excel?. Nipo sahihi...
Wakuu, baada ya kuhama kutoka OS za Windows nimeamua kujikita kwenye OS za Linux.
Baada ya kupitia machapisho mbali mbali na kufuatilia tutorials mbali mbali za video niliona nijikite kwenye...
Habari ya uzima mkuu nimepata dell precision m6300
video card ni NVIDIA Quadro FX 1600M - 256
MB
Hapa vip mkuu kwa game kama gta 5 na fifa 16 pia warcraft
Habari wana jamii forum naomba kuuliza hivi mimi natumia simu tecno j8 lkn nikitumia kwa muda mrefu labda kwa siku hata masaa matatu kichwa kinauma sana na macho yana vuta sana kuna wakati nasikia...
Hi! Kila nikiwa nataka ku log in instagram inaleta ujumbe huo kwenye picha...nimejaribu ku uninstall na ku reinstall bado inaleta huo ujumbe...nini shida hapo jamani
WanaJF,
I would appreciate input on possible options for a remote non-forensic SMS collection. We have 20-22 custodians from whom we would like to collect SMS messages. These are the type of...
Kama kichwa cha habari kinavyosema mm natengeneza circuit zifuatazo za kielectronic:
1:security system which will switch on the buzzer when it sense the presence of human
2:automatic night light...
wakuu naomba mnijuze gharama za kutengeneza na kumiliki website?
ni hatua gani za kufuata? kuna usajili unahitajika?
ni website ambayo itakuwa na taarifa ya vitu kama 2,000 na watu watakuwa...
During the height of the Cold War, a few US spy satellites changed our view of the Universe forever.
In 1963, a year after the Cuban Missile Crisis nearly plunged the world into nuclear war, the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.