Firmware Update for Huawei B960
Firmware Update for Huawei B970
Firmware Update for Huawei D100
Firmware Update for Huawei E150
Firmware Update for Huawei E122
Firmware Update for Huawei...
Wakuu habari zenu kuna simu ya tecno N2 ilisumbua nikarestore factory setting sasa tatizo ili kurudi tena inadai uingize email ya kwanza kabisa yaani google account iliyotumika mwanzoni nikiingiza...
Habari yenu ndugu wana jamii wenzangu .
Nilikua napenda kujuzwa kuhusu ukomavu WA store yetu sasa bhas kwa kua ulikua Changa je Kuna apps zozote zinazoongezeka ambazo pengine. Zinafunction muhimu...
wakuu habari, nina laptop yangu ambayo imeanguka na kushindwa ku start, kwenye analysis fundi ananiambia hard disk ndio mbovu, sasa naomba msaada wa namna ya ku recover data kwenye hiyohard disk...
Hii Modem imenishinda kuichakachua kwa kutumia switchprojectModem ile alio Post gkiwango
Adress yake iko unique http://192.168.8.1/html/home.html tofauti na zile za Vodacom Hilink
Pia nikiweka...
Eti jaman naskia matangazo kwenye Radio kuhusu king'amuzi cha ZUKU wanadai eti ni kizuri halafu kina channel kama 70 hv,
kwa aliyek2mia naomba atueleze ubora wa hiki king'amuzi na jins gani...
Samsung wameshatoa mzigo wa sumsung galaxy s7 mzigo hatari na matata kabisa huku ukiwa na battery la 3000mah.
======
Kampuni ya Samsung imezitangaza rasmi simu za Galaxy S7 na S7 edge kwenye...
JAMANI NIMEWASHA COMPUTER YANGU YA DELL 610, NIKAKUTANA NA TATIZO HILI '' MANUFACTURING MODE: LEVEL '67'''''PRESS FN + X TO RETURN THE SYSTEM TO NORMAL MODE'. NIKI PRESS fn x haifanyi kazi...
Nawasalimu wote.
Samahani wanajamvi hivi TV za LG flat screen huwa zina mfumo wa kupata channel za free bila kutumia king'amuzi wala cable kama ilivyo Samsung TV
Kama huo mfumo upo. Unafanyaje...
Wadau na wapenzi wa full version software na magame ya ukweli kama PEs,GTA,HITMAN,GOD OF WAR na mengineyo mengi kamueni hapa
then mnipe matokeo
#Muhimu hakikisha umeinstall utorrent na IDM pia...
Wakuu leo nimepigiwa simu na Tigo wakidai wanatoa offer ya line za 4g kwa watumiaji wa internet, yani napewa hiyo line kwa namba yangu ile ile!
Sasa kabla sijaamua kuifata na kubadilisha line...
Hey,
I just downloaded WhatsApp Messenger on my Android.
It is a smartphone messenger which replaces SMS. This app even lets me send pictures, video and other multimedia!
WhatsApp Messenger is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.