mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,700
- 9,070
Wakuu habari zenu kuna simu ya tecno N2 ilisumbua nikarestore factory setting sasa tatizo ili kurudi tena inadai uingize email ya kwanza kabisa yaani google account iliyotumika mwanzoni nikiingiza inasema password error nimejaribu kuingia gmail kureset password napo hola wataalam wa it nisaidieni hapo cc Chief mkwawa