Msaada: Namna ya ku recover data kwenye hard disk iliyoharibika

Msaada: Namna ya ku recover data kwenye hard disk iliyoharibika

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,303
wakuu habari, nina laptop yangu ambayo imeanguka na kushindwa ku start, kwenye analysis fundi ananiambia hard disk ndio mbovu, sasa naomba msaada wa namna ya ku recover data kwenye hiyohard disk kwani ina vitu vyangu vya muhimu ...shukrani
 
wakuu habari, nina laptop yangu ambayo imeanguka na kushindwa ku start, kwenye analysis fundi ananiambia hard disk ndio mbovu, sasa naomba msaada wa namna ya ku recover data kwenye hiyohard disk kwani ina vitu vyangu vya muhimu ...shukrani
nitafute 0672231880 nione kama naweza kukusaidia..
 
Back
Top Bottom