Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wadau habari zenu, naombeni kujua jinsi gani naweza kuangalia East Africa Television on line (kwa simu), kuna kipindi nataka kufuatilia lakini mida yake inakwenda kinyume na ratiba zangu za...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu nimepata offer ya kuchagua simu moja wapo kama zawadi, ingawa sijawahi tumia hizo simu zaidi ya kuziona kwa watu. Kwa wazoefu wa hizo simu naomba mnisaidie ni simu gani bora na yenye mvuto...
1 Reactions
44 Replies
5K Views
natafuta ipad ya gharama nafuu na camera kuanzia 13 na kuendelea
0 Reactions
0 Replies
560 Views
Simu uangu ya Huawei G6 - U10 ina limitation ya kuinstall apps mpaka 1070 mb tu, hata kama simu ina nafasi ya kuweka vitu vingine ie media, documents etc ya more than 1gb, lakini apps mwisho ni...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Helloww guys ,huu ni uzi maalumu kwa wale wadau wanaomiliki Blogs mbalimbali. Hapa tutaweza kubadilishana mawazo,kupeana teknolojia mbalimbali za uendeshaji wa blogs,Jinsi ya kuingiza kipato...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu Kuna offer kabambe inaendelea sasa kwenye office zetu kama inavyoonesha hapa chini. 1.Webste designing +1 year hosting Tshs 350000/= 2.System or Database designing+1 year hosting plan...
1 Reactions
1 Replies
762 Views
Siku za kalibuni asilimia 90 ya simu zenye antivirus zimepatwa naatatizo mbalimbali ikiwemo kuzima kustack nk KWANN ANTIVIRUS NDIO IWE CHANZO CHA TATIZO IKIWA NDO KINGA? kila simu ya android...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Hii tatizo la tapatalk kutokuwepo kwenye App Store naona lina impact kwa wale walioUnistall hii app hawataoweza kuipata kwenye AppStore. Na endapo utaiDownload kutoka Kwenye website ya tapatalk...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu kuna simu hapa tecno L8 ina hii cable inaitwa OTG sasa swali langu naweza kutumia modem katika internet,yaan nizime data alafu nitumie modem
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Download manager ni andoid ambaye anashugulika na kudownload ktk simu yako ivyo pale anapoblokiwa uwa simu inaandika unfortunately google playstore stoped ili neno utokea mara kwa mara ktk simu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu!! Naomba mwenye kujua application ya ku convert mp3 music iwe instrumental/beat tupu anisaidie, iwe inatumia windows 7/8/10
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Naombeni msaada Jinsi ambavyo naweza Kutumia whatsup kwenye laptop.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hiki ndicho nlichogundua
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari wanajamvi, naomba mnisaidie majina ya magame makali yanayo patikana katika windows phone.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Waungwana Ninashida kujenga banda la uwani,, ni vyumba 3 kila chumba kikiwa na choo yaani self. Engineer kaniambia nimlipe mil 7 yaani kufikisha kwenye matoleo tu,,, then from there tuongee tena...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mimi nime maliza kidato cha nne mwaka 2008 kama mnakumbuka miaka hiyo kulikuwa matokeo yakitoka huwanaweka namba tu sio majina kama siku hizi kama sikosei sasa mimi bwana sikumbuki namba yangu ya...
0 Reactions
8 Replies
10K Views
Wakuu ni mtaàlamu wa adsense account kwa yeyote anayehitaji tuwasiliane kwa namba 0687 535650
0 Reactions
10 Replies
1K Views
naomba msaada Wa kuckrack easy video maker 5.26 au software yoyote ya kuedit video nzuri kwa beginner ilimradi isiwe trial version.. natanguliza shukrani.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama nilivo jieleza hapo juu najua humu nyumbani kwetu kuna majibu ya takribama maswali yote ambayo watu ambayo yanahitaji majibu. Nimepakua (download) encyclopedia Britannica 2013 imenishinda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar zenu ndugu, naomba msaada wa kupata Chanel za bure katika king'amuzi cha continental Asante.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom