WAKUU Ni kampuni gan ya Simu Ina toa modem nzuri za internet kwa matumizi ya laptop ... na Ni kampun gan ambayo Ina limitless internet ...: mimi mpenzi wa online movies so naomba msada wenu
Wapendwa habari zenu..
Napata tabu kidogo na hii simu, some apps hazifunction tena inaniambia ni update kwanza.
Now nikijaribu ku update inaniambia kama kawaida kuingiza password na id ya...
Salam wakuu, mimi kwa miaka mingi Nimekuwa mzee wakuchepuka leo tigo, kesho voda, jioni halotel, kesho yake Ttcl lakini kwa niliyoyaona leo mimi na hii kampuni itwayo Tigo (line ninayo mwaka wa 10...
HABARI ZENU
Ndugu zangu wana forum naomba msaada juu ya hiyoo cm yangu tajwa hapo juu nahitaj kuroot ili niweze kuinstall google playstore naomba mwenye kujua anisaidie zaid maana nimeshajaribu...
Kampuni ya Microsoft chini ya kitengo chake cha michezo kijulikanacho kama Xbox kimetangaza kuwa kitainunua kampuni ya Beam.
Beam nayo yenyewe inajihusisha na maswala ya magemu na hata yale ya...
Google wanakuja na programu endeshaji nyingine nje ya Android na Chrome OS. Programu endeshaji hiyo inayokwenda kwa jina la Fuchsia tofauti na Android na Chrome OS hii inajitegemea na haitatumia...
Njoo ujifunze website design & development, database design & implementation, joomla, wordpress and software development using web based technologies.
Bure hadi 01/09/2016.
Training...
Nina laini yangu ya Vodacom niliyoipenda namba kwani rafiki yangu alikuwa anasajili lain sasa mie siku moja nikaenda ofisini kwake nikakuta lain nyingi sana nikachukua moja nikaweka kwa simu...
Wana body habari zenu, heshima kwenu sana ,nimelazimika kukimbilia jukwaa Hili kwaajili ya msaada nahitaji Ku download ant virus ambayo itakuwa nzuri kwa windows 7 Ultimate pia naomba na link pa...
Wakuu simu yangu w4 nikiwasha data connection hua inakua slow sana,katika internet yenyewe ipo normal ila tatizo ni vile nikitaka kuscroll hua inagandaganda sana.Msaada wakuu
Habari wakuu
Naomba kusaidiwa kujua, kuna hizi game ambazo huchezwa kupitia TV aidha mko wawili kwa maana ya kushindana au kuchezwa na mtu mmoja
Kwanza zinaitwaje, zinapatikana wapi na huwa ina...
Kwema ndugu zangu!
Napenda tuutumie huu uzi kujifunza java, for biginer's, experienced na senior wa java tusaidiane kutatua changamoto mbalimbali kuhusu kuandika code za java, solving different...
Wadau naomba kuuliza, ni mfumo gani naweza Kutumia kuhamisha pesa ya account ya Tsh kwenye account ya Dola au kwenye PayPal account bila kwenye physically bank na kupanga foleni?, Maana nasikia...
habari wakuu...
ninatumia Huawei Y330 kwa mda sasa na ina line mbili, line 1 haina tatizo nikiweka chip ya mtandao wowote network haileti matatizo inasoma H au H+
Tatizo ni hii line 2, muda wote...
CALL RECORDER kwenye simu yangu imekataa kufanya kazi kabisa,nime download kila toleo imegoma kabisa anayejua jinsi ya kuweka anishauri tafadhali.
Simu yangu Samsung Gallaxy noteIII sm_N900.
Naombeni msaada wana JF nmepata mtu anauza laptop used mackbook (16 gb) kwa sh laki nne na nusu pia zipo mpya anauza 1million na kaniambia yupo USA. Cha kushangaza namba yake ya simu inaanzia +254...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.