Pengine umewaalika rafiki zako nyumbani. Una party ndogo. Unachezesha miziki kwa laptop yako. Laptop yenyewe umeiweka kwenye meza ya pembeni karibu na chanzo cha umeme, au pengine karibu na...
Nimekumbana na tatizo hili kwenye pc yangu linaniletea tu message hii "settings.ini is being used by another process. Close other program" naomba msaada wenu wadau
Ninahitaji kujua watu wangapi wako interested kujifunza programming na ambao wanahisi wakielezwa kwa kiswahili is better kuliko kiingereza. Kama ndio tupia hapa ungependa kujua nini.
Nafikiria...
Wadau msaada wa ku activate card yangu ya visa kwenye website ya crdb,baada ya kuangaika sana kufuatilia waiactivate ili niweze ku purchase vitu online,hatimaye wamenitumia txt kuwa naweza shop...
Habari zenu!
Mara baada ya TCRA "kufungia" simu ambazo ni "feki" kuna simu ambazo ni ORIGINAL zimekuwa zikisumbua sana.
Simu hizi ukifuata maelekezo ya TCRA kutambua kama ni feki au la zinaleta...
I am curious! hivi tunaponunua bundle kwenye mitandao yetu ya kawaida (tigo, voda n.k), kwa namna flani tunapewa ka portion kadogo ka ku access internet. Kitu ninachojiuliza ni kwamba, wao tigo...
Habari za jioni, nataka kufanya matangazo ya biashara yangu kwa kuwatumia sms watu wa mikoa ya nyanda za juu kusini, naomba msaada nitumie software IPI? Ama APi zipi niweze kufanikiwa. Nataka msg...
The original KickassTorrents website was shut down by the US authorities and its alleged operator was arrested, but the crew is going to rebuild the platform they have attracted many users and are...
Habari zenu wakuu, mimi sio mzoefu sana wa tv sasa nataka kununua flat screen nimependelea iwe ya kisasa sasa nahofia kuingizwa mjini. Naomba mnisaidie flat screen ya kisasa ina sifa zipi na...
Salaam Kwenu.
Naulizia mwenye kifaa tajwa hapo juu anisaidie niweze kubadilisha kwenye laptop yangu hai-touch kabisa kioo kimeweka ufa.
Kama ni fundi au muuzaji naomba kujua bei yake ni kiasi...
Niliangusha hd yangu, ikiwa inafanya kazi, baada ya hapo kila nikitaka kuitumia inaishia kwny ku load driver tuu.
Nimejaribu kubadilisha cable na PC nyingine style ni ileile.
Kwa awezaye...
Wengi tumeizoea Opera mini lakini sasa watumiaji wa simu au tablets zinazotumia Android wanaweza ku download browser mpya, faster kuliko opera. Inaitwa Next. Imeundwa na wale wale wataalam...
ndungu wana jf habari za wakati naomba msaaada wenu please je kuna utaaramu wa kudownlod app ya WhatsApp and instragram kwenye pc please mwenyewe ufahamu anielekeze
Habari za kutwa.
Unapokua na zaidi ya mitandao kumi ya kijamii ni ngumu sana kushika passwords zako. labda kama unatumia zinazofanana kwa site zote sawa ila haishaririwi sababu sio salama, mtu...
Wadau nina laptop ya Samsung note book N100SP inanizingua kutype na sijui nifanye vipi setting zake
keys za u, i,o p,j,k,l,m kwa chini zina namba
tatizo nikibonyeza hizo keys zinatokea namba...
Wakuu kuna LapTop nilinunua wiki jana lakini nimeshindwa kuitumia kwa sababu ya Keyboard setting yake, yaani kila nikiwa nina type nikibonyeza baadhi ya button inaandika namba.
Mfano nikibonyeza...
Hii game ya nuclear bike nimeipenda kwasab inahtaj control ya hali ya juu nimeenda nayo had stage ya 13 ambapo ile motor cycle inakuwa inajump hewan technically na haiend mbele msaada kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.