Prince_mandela
Senior Member
- Jul 29, 2016
- 167
- 117
Tablet yang ya tecno nikiwasha ina niandikia neno tecno afu hakuna kinacho endelea nimejaribu ku reset lakin bado inanigomea nisaidien jaman
Nika flash kwa kompyuta mkuu au ?kaiflash imejichanganya
Asante mkuukama 0715798947
Na yangu pia inasumbua hivyohivyo mwanzoni nilipata shida nikpeleka kwa fundi baada ya hapo ilivyorudia tena huwa nabonyeza button ya kupuguza sauti na kuzima kwa pamoja ndio inawaka. Au naiacha mpk iishe chaji kabisa inajizima ndio nachaji upya na kuiwashaTablet yang ya tecno nikiwasha ina niandikia neno tecno afu hakuna kinacho endelea nimejaribu ku reset lakin bado inanigomea nisaidien jaman