Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu nawezaji kujua jina la mtu na mahali aliponipigia ikiwa kwenye simu yangu hakuna jina lake nimekuwa nikisumbuliwa sana na namba ambazo sizitambui.msaada kwa anaye jua
0 Reactions
1 Replies
638 Views
Wanajamvi mi nipo Moshi, natamani ku upgrade simu yangu Samsung s3, nipo Moshi mjini. Naomba kuelekezwa ni wapi nitafanyiwa hio kitu. Ili ku-upgrade samsung yako fuata hatua hizi kama...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wadau habari! Kuna kampuni ilikuwa inajitangaza clouds fm kuwa wanahusika na kuhost page za FB, mwenye namba zao naziomba au website yao.
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Hongereni JF kwa kutumia https, nimeiona leo jion but why it take you so long? Tunasuburia vitu vizuri kutoka kwenu. Thanks in advance
0 Reactions
2 Replies
676 Views
Za wakati wakuu,ni wap wanatoa short course ya web designing na wako vizuri hapa dar ?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nilikua naitumia kwa kipind kirefu sana lakini sasa hivi mwanga wa screen umezima kabsaaa japo kuw inafany kaz vzur lkn mwanga ndio tatzo lkn cha ajabu zaidi ukiwa unaiwasha PC mwanga unatokea but...
1 Reactions
1 Replies
290 Views
Habari wataalamu.. Hii inaeza isiwe ngeni lakini si mbaya kurudia ili kuwapa mwanga wasiojua kama mimi namna ya kubold, kuweka maneno yao kwene italics na pia kustrike through pindi watuamiapo...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Ndungu wana jf naomba msaaada jinsi ya kuunganisha data za kwenye cm zitymike kama modem kwenye pc
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi kuna society ya programmers hapa bongo, ambapo watu mnaweza kukutana na kufanya challenges za programming na kubadilishana mawazo.
0 Reactions
3 Replies
840 Views
Mwenye NAYO au kufahamu driver ya laptop dell ya kusaport line ili iweze kusoma na kuconnect ktk INTERNET katka computer aina ya dell D630 naomba msaada plz NATUMIA WINDOW 7.NAOMBA ANITUMIE HAPA...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Tafadhali ningependa kufahamu ni vyuo vipi vya serekali hapa Dar es Salaam vinavyotoa kozi ya computer science and IT.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Follow the updates of the JamiiForums iOS App for iPhone and iPads (including iPods). Download link: JamiiForums on the App Store
12 Reactions
124 Replies
40K Views
Wanasayansi wamegundua sayari ambayo inakaribia sana Dunia kwa mazingira na ukubwa wake na ambayo inazunguka nyota ijulikanayo kama Proxima Centauri, iliyo na mfumo unaokaribia zaidi mfumo wetu wa...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari JF,baada ya kuhangaika mda mrefu hatimaye jana nimefanikiwa kuroot simu yangu ili niweze kuinstall app zenye uwezo wa kuhack games,lakin bahati mbaya sina ujuzi wa kuzitumia hzo apps kuhack...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu naomba anaefahamu sattelite ya hii chanel anifahamishe hapa niweze kuiwinda manake ina movie nzuri sana, Natanguliza shukrani.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau, Nina nyimbo kwenye laptop yangu. Bahati mbaya ili crash muda mrefu kidogo nimefanikiwa ku recover files. Baadhi ya nyimbo zinagoma kuplay (ziko kwenye format ya wav) nimejaribu kuzifanyia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wadau. Msaada tafadhali. Nina photocopy IR 2016 Na ina Uwezo wa kuprint ila CD ya printer imepotea. What should I do?? Your help please.
0 Reactions
1 Replies
809 Views
Wadau naomba kusaidiwabkstika hili, ninatumia tecno c9 kabla ya hapo nilikuwa natumia tecno f7 ambayo nilikuwa nikiitumia kuhamisha files toka kwenye pc na au kuingiza toka kwrnye simu, lkn toka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndungu wana jf nimekovernt nyingi kwenye pc yangu but cha ajaabu sioni file zipokaa msaaada hapo please
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari jf? Naomba msaada jinsi ya kuzuia matangazo kwenye mtandao (adds). Unafungua website Fulani lakini vinatokea vitangazo vingi visivyo na maana kabisa. Naomba msaada kwa anayefahamu. Browser...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Back
Top Bottom